Wewe ni kiongozi ndani ya CCJ? je ni kweli CCJ ni chama mbadala na sio yaleyale ya Mrema type? Nasikia kiongozi mmoja ni kutoka pale Makumbusho ktk kitengo chetu kileee alichokuwa Mzee wa Kiraracha sasa hapo kweli sio mkenge?..inabidi mtu kufikiria kidogo lakini kwa umakini
Inawezekana unasubiri uone vigogo watoke CCM ndio na wewe ufanye uamuzi na inawezekana unasubiri wengine waanze kuleta mabadiliko ili na wewe udandie mbele ya safari; lakini wengine wangependa kuwa sehemu ya mabadiliko wanayoyataka.. hivyo..
Ni namna rahisi yakujiunga na CCJ kwa haraka na kwa wepesi... Kwa kutumia simu yako:
Ingia kwenye "Message"
Andika neno "Sajili" weka nyota (*)
Andika Jina lako kamili kisha weka (*)
Andika Mkoa unaotoka kisha weka (*)
Andika mtaa unaotoka kisha weka (*)
Halafu tuma kwenda namba 15337
Mara moja utapata namba yako ya kadi, na maelekezo jinsi ya kupata kadi yako..
Asnate mkuu,
Nashauri matangazo ya redio na TV kuhamasisha wengi kwenye hili.
Au kuna tatizo?
Baada ya kikao cha bunge kilichoanza leo, wapambanaji watajitokeza kwa namna moja ama nyingine kukipigia debe CCJ! Ndiyo, Ninamaanisha haya ninayoyasema hapa!
Hapa cjaelewa kidogo MWaNAkiJIji ni mdau mkubwa wa CCJ?? hapa nataka nipate
huakika mana inaweza kuwa kama yale ya Mrema na his party,
Wazalendo wa kweli wanayoitakia mema Tanzania, wangependa kujiunga na CHADEMA;
lakini kwa sababu tayari CHADEMA imekamilisha safu ya uongozi ukienda kule huwezi pata safu ya mbele au kukaribishwa jikoni, hivyo wajanja wachache ambao wanataka kutoka CCM wanaona it is only through new and young part like CCJ ndio unaweza kukaribishwa jikoni na kuruhusiwa kusali safu ya mbele.
Kuna uwezekano mkubwa sana wa CCJ kunyoofisha upinzani badala ya kuimarisha kwa kugawa kura! Ngoja tuone.
Kujiunga kwa SMS na kujitoa je? kwa SMS, kwa e-mail, kwa blog, kwa facebook etc......
Mwanakijiji,mimi napenda sana articles zako katika Jamii forums na ktk kijarida chako,i have considered u as a MwanaJAMII forums mzalendo. ila kwa hili la kupromote CCM by Proxy i.e CCJ hapa unachanganya watu,je kama unapenda maendeleo ya tanzania kwa nini usidumishe upinzani via vyama vilivyosimama kidete katika upinzanii mfano chadema,cuf.Inawezekana unasubiri uone vigogo watoke CCM ndio na wewe ufanye uamuzi na inawezekana unasubiri wengine waanze kuleta mabadiliko ili na wewe udandie mbele ya safari; lakini wengine wangependa kuwa sehemu ya mabadiliko wanayoyataka.. hivyo..
Ni namna rahisi yakujiunga na CCJ kwa haraka na kwa wepesi... Kwa kutumia simu yako:
Ingia kwenye "Message"
Andika neno "Sajili" weka nyota (*)
Andika Jina lako kamili kisha weka (*)
Andika Mkoa unaotoka kisha weka (*)
Andika mtaa unaotoka kisha weka (*)
Halafu tuma kwenda namba 15337
Mara moja utapata namba yako ya kadi, na maelekezo jinsi ya kupata kadi yako..
Mwanakijiji,mimi napenda sana articles zako katika Jamii forums na ktk kijarida chako,i have considered u as a MwanaJAMII forums mzalendo. ila kwa hili la kupromote CCM by Proxy i.e CCJ hapa unachanganya watu,je kama unapenda maendeleo ya tanzania kwa nini usidumishe upinzani via vyama vilivyosimama kidete katika upinzanii mfano chadema,cuf.
ni heri kuimarisha upinzani kwa njia hiyo kuliko kuudilute upinzani uliopo kwa kupromote ccj ambacho ni wapinzani feki waliokuja kuupunguza kura za wanaCCM ambao wangepigia kura upinzani.
Strategy ya kutumia text message ni nzuri katika muda mfupi , lakini sidhani kama itaweza kukisaidia chama katika muda mrefu. Kwanza majority ya watanzania walioko vijijini hawana hizo cell phone , kwa hiyo sijui hiki Chama kina strategy gani ya kuwafikia.
Pili , kuanzisha chama cha siasa miezi sita kabla ya uchaguzi, na kutegemea kupambana na CCM, ni nija ya wazi ya kuumaliza upinzani. Kitu kilichokuwa kinatakiwa ni kuviunganisha vyama. Nadhani CCJ wanafanya exactly CCM walichokuwa wanakiitaji, nacho ni kuumaliza upinzani.
[/QUOTE]Watu waache kuweka interest zao mbele, waangalie picha kubwa !
Mkuu nashukuru kwa maelezo ya namna ya kujiunga na chama kipya. Mimi ninaomba msaada kwa machache.Inawezekana unasubiri uone vigogo watoke CCM ndio na wewe ufanye uamuzi na inawezekana unasubiri wengine waanze kuleta mabadiliko ili na wewe udandie mbele ya safari; lakini wengine wangependa kuwa sehemu ya mabadiliko wanayoyataka.. hivyo..
Ni namna rahisi yakujiunga na CCJ kwa haraka na kwa wepesi... Kwa kutumia simu yako:
Ingia kwenye "Message"
Andika neno "Sajili" weka nyota (*)
Andika Jina lako kamili kisha weka (*)
Andika Mkoa unaotoka kisha weka (*)
Andika mtaa unaotoka kisha weka (*)
Halafu tuma kwenda namba 15337
Mara moja utapata namba yako ya kadi, na maelekezo jinsi ya kupata kadi yako..