Wewe ni kiongozi ndani ya CCJ? je ni kweli CCJ ni chama mbadala na sio yaleyale ya Mrema type? Nasikia kiongozi mmoja ni kutoka pale Makumbusho ktk kitengo chetu kileee alichokuwa Mzee wa Kiraracha sasa hapo kweli sio mkenge?..inabidi mtu kufikiria kidogo lakini kwa umakini
Mkuu hata mimi nina wasiwasi isijekuwa ni janja ya CCM kuwadaka wenye mawazo tofauti nao ili kupunguza kura za wapinzani. Mbona wanaifagilia sana?