Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,115
ina maana hamuoni Vodacom Tanzania na uzi wao hapo juu? Au Marketing strategy?
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine mnaweza kuwa mnawatwisha lawama zisizo za kwao. Bundle ya 20,000 inakuja pamoja na MB800 za data, sasa kama wewe unanunua bundle kwenye smart phone halafu pengine una matumizi makubwa ya Internet, hiyo 800MB unaweza kuitumia ikaisha hata kwa siku moja. Kuanzia hapo kila unapotumia Internet charge inakwenda kwenye salio lililo kwenye simu
Kwa mazingira hayo kama kuna matumizi makubwa ya Internet ni sahihi kukuta salio limeisha, na unakua umelipa ulichotumia
Tatizo kasi yao ya internet ni ndogooo... Most of the time inasoma E au hakuna kabisa.
Hahaha..
Wewe ni shabk wa yanga
ina maana hamuoni Vodacom Tanzania na uzi wao hapo juu? Au Marketing strategy?
Vodacom ni moja ya kampuni inayotumiwa na mafisadi kuwadhulumu Watanzania.
Na hii ni dhuluma kubwa inayolalamikiwa sana !
Makamba unasinzia tu na kuota urais !
Yah kweli kaka! utakuta mtu labda kaingia whatsapp, kidogo kaenda fb, ka2miwa sms ya kawaida, kaenda kuisoma.. sasa hapo atanogewa na ataendelea kuchat kawaida...hapo unasahau kabsa kama whatsapp na fb viko On....then MB zikiisha normal credit inaanza kutumika bila wewe kujua...So utamlaumu nan!
Kikubwa ni kuwa makini na matumiz yako! Tatizo lao wanachelewa kumtaarifu mteja...Unakuta MB zimeisha mpaka normal credit imeisha then ndo wanakutaarifu!!!
Vodacom jamani wezi hasa
nikiweka Bundle ya 499 napewa MB 40
kwa hasira nakopa 900 ili ninunue kwa 899 napewa 100MB
jamani humalizi saa moja nayo imeisha
WIZI HUU MPAKA LINI?
Hpo hakuna dhulma ILA nyie ndyo mnajichanganya kwa mfano umeweka 1000 hlf ukijiunga inakataa baada ya muda unakuta salio limeliwa,hyo inatokana na kuacha data connection yako ikiwa on..ushauri kabla hujaweka vocha hakikisha connection zote za internet zipo off baada ya hpo jiunge ukimaliza kujiunga ndyo uwashe data connection au roaming kwa wanaotumia cm za window
Umewahi kujaribu unachosema ?
Ha ha ha aaah!!
Nina hasira nao hawa waizi!!