uporo wa wali ndondoUkiwa na line tatu mfano voda,tigo na airtel....voda huwa naifananisha nasawa kuwa na V8 imepaki uwani, then hizi zingine ni vi-stalet.
Huu mtandao kwa kweli ni wa kiuni tyu me mpaka sasa siweki salio maana nimeweka maranyigi wana kata salio afu ukiwaliza wana toa majibu mepesi.
Simu inakuwa ipo offline na hujajiunga na huduma yoyote inayolipiwa fedha.
Unaweka salio eg TShs 1000, na kujaribu kununua bundle labda ya TShs 1000 inasema salio halitoshi.
Ukiangalia salio unakuta limepungua pengine hadi kubaki TShs 870 huku ikiendelea kupungua kadri dakika zinavyokwenda.
Kwa Voda kuwapata huduma kwa wateja ni ngumu sana.
Naomba msaada namna ya kujiepusha na dhuluma au wizi huu hasa ukizingatia laini inayotumika ni muhimu kwa shughuli zako na kuibadilisha haiwezikani.
Pia, kwa anayejua namna ya kujitoa kwenye hizi huduma sijui nipashe habari, nyimbo, alert nk ambazo huja kama kirusi.
NB:
Nawashukuru Airtel maana wao unanunua moja kwa moja bundle kutoka AirtelMoney na hivyo huwezi kwa namna yoyote kuibiwa fedha yako.
mada yako imekaa ki promo sana, inawezekana kweli unaibiwa lakini vodacom wamaweka uzi humu kwanini usiende kwenye uzi wao ukatoa malalamiko yako?
Simu inakuwa ipo offline na hujajiunga na huduma yoyote inayolipiwa fedha.
Unaweka salio eg TShs 1000, na kujaribu kununua bundle labda ya TShs 1000 inasema salio halitoshi.
Ukiangalia salio unakuta limepungua pengine hadi kubaki TShs 870 huku ikiendelea kupungua kadri dakika zinavyokwenda.
Kwa Voda kuwapata huduma kwa wateja ni ngumu sana.
Naomba msaada namna ya kujiepusha na dhuluma au wizi huu hasa ukizingatia laini inayotumika ni muhimu kwa shughuli zako na kuibadilisha haiwezikani.
Pia, kwa anayejua namna ya kujitoa kwenye hizi huduma sijui nipashe habari, nyimbo, alert nk ambazo huja kama kirusi.
NB:
Nawashukuru Airtel maana wao unanunua moja kwa moja bundle kutoka AirtelMoney na hivyo huwezi kwa namna yoyote kuibiwa fedha yako.
Mkuu cjui unatumia sim ipi baada ya utafiti kidogo nmegundua kuwa cm hiz hasa smart phone huwa zipo online alwayz hvyo kama buddle likiisha ukiwa pesa inaliwa fasta,
Hivyo mm nnapotaka kuwaka pesa kwa mfumo wangu wa sim ya samsang naenda kwenye setting kisha kwenye data usage, na click mobile data, ina logoff mfumo wa internet na kubaki na mfumo wa kawaida, hapo na weka pesa yaan hawakati mkuu..
Ila usiwe umejiunga na hzo blabla zao. Fanya hvo mkuu hutagombana na tigo voda au airtel.japo haya makampun n wezi ila kwa hili tuangalie sim zetu.
Simu inakuwa ipo offline na hujajiunga na huduma yoyote inayolipiwa fedha.
Unaweka salio eg TShs 1000, na kujaribu kununua bundle labda ya TShs 1000 inasema salio halitoshi.
Ukiangalia salio unakuta limepungua pengine hadi kubaki TShs 870 huku ikiendelea kupungua kadri dakika zinavyokwenda.
Kwa Voda kuwapata huduma kwa wateja ni ngumu sana.
Naomba msaada namna ya kujiepusha na dhuluma au wizi huu hasa ukizingatia laini inayotumika ni muhimu kwa shughuli zako na kuibadilisha haiwezikani.
Pia, kwa anayejua namna ya kujitoa kwenye hizi huduma sijui nipashe habari, nyimbo, alert nk ambazo huja kama kirusi.
NB:
Nawashukuru Airtel maana wao unanunua moja kwa moja bundle kutoka AirtelMoney na hivyo huwezi kwa namna yoyote kuibiwa fedha yako.
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu !
Simu yangu ina laini mbili ie Voda na Airtel, laini iliyopo kwenye data ni ya Airtel.
Lkn kila nikiweka salio kwenye Voda linaliwa kwa kasi bila kutumia laini hiyo.
Kuna siku niliweka 2000 nikaja kushtuka kesho yake imebaki 750.
Ukiangalia km wanadokoa TSh 100 kwa kila mteja kwa siku kutokana na mitego waliyoweka
basi ni zaidi TShs 200M per day wanaingiza dirty money !
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu !
Simu yangu ina laini mbili ie Voda na Airtel, laini iliyopo kwenye data ni ya Airtel.
Lkn kila nikiweka salio kwenye Voda linaliwa kwa kasi bila kutumia laini hiyo.
Kuna siku niliweka 2000 nikaja kushtuka kesho yake imebaki 750.
Ukiangalia km wanadokoa TSh 100 kwa kila mteja kwa siku kutokana na mitego waliyoweka
basi ni zaidi TShs 200M per day wanaingiza dirty money !
Yategemea na simu yako, kama ni hizi simu za kisasa, mara nyingi internet inakuwa ON hivyo ukiweka tu salio, linakwapuliwa. Haya ndo maneno ambayo niliambiwa na customer care wa Voda. Ila ni upumbavu, sababu nami salio langu linapigwagwa panga kwenye kitochi. Wezi sana voda. Tigo nao kituko, nilikopa salio wakanipa 750 sasa ishu eti siwezi nunua kifurushi, yaani nipige na kutuma sms hivyo hivyo kama ile ya kizamani zamani wakati vifurushi hamna. Hii mitandao ni wezi balaa. Ukipiga customer care unakaa karne nzima kabla hawajapokea, wakipokea mawasiliano mabovu. ukipika zaidi ya mara tatu customer care wanaanza kukupiga panga tena. Voda pambaaaaf zao sana, pia tigo pambaaaf zao sana. Shenzzzy taipu! Voda=NBC
Tatizo Airtel hawajasambaa kona zote kama Voda, otherwise kwa bundle za data bei ya Airtel utaipenda.hameni kkkash mi nimehamia airtel vifrushi wamepunguza sana voda sina ht time na voda