Jinsi ya kujibizana na mwenza wako

Mkuu unajua mara nyingi tulivyo TUNATENGENEZWA na mazingira yetu. Malezi na makuzi yanatuathiri mitizamo yetu. Nashauri utafte mtaalamu aliesomea UNASIHI(Counselling) mzungumze!

okey

nipe kitabu kimoja nisome
 
Pamoja na yote yaliyotangulia, nimefagilia sana hii ya mwisho hapo chini.

NB: These techniques do not guarantee you to "cease fire "na mwenza wako. Cha msingi, soma mazingira na msome mwenza wako. Haya ni maoni yangu binafsi , I stand to be corrected.
 
Kwenye majibizano hasa yanayo ambatana na hasira hakuna ufundi maana mara nyingi huwa ni mambo yanayo tokea bila kupanga! Kama kutakuwa na ufundi sana ujue kutakuwa na maigizo tuu! Majibizano hayana ufundi labda kama ni ngonjera!

Mtu anavyo argue wakati akiwa na mwingine tena akiwa na hasira ndivyo alivyo wala si ufundi bali ndivyo alivyo maana huwezi kufata principles wakati wa ku argue labda kama unaogiza na anaye fata hizo ujue ndivyo alivyo!

Mkuu, pamoja na kuwa na hasira, lakini binaadamu anaweza kutumia busara kuepusha baadhi ya mambo yasitokee akiwa na hasira. Hivyo hivyo hata akiwa na hasira anaweza kudhibiti namna hasi ya kujibizana. Kwa mfano mzazi wako anaweza kukuudhi kupindukia lakini ukachagua namna bora ya kujibizana nae tena hapo hasira zimekujaa mpaka unatetemeka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom