Jinsi ya kuishi na boss mjinga mjinga

Jinsi ya kuishi na boss mjinga mjinga

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,305
Natumaini mko salama mkizidi kulisongesha japo duh usawa mbovu huu, hatukawii kutumbuana ili tuonekane na sisi tupo tupo.

Napenda kuwapa hizi tips chache za kuweza kuishi kwa amani na hawa mabosi kazi wa kidjitali wasiojua kazi zao.

1.Kumbuka kutimiza wajibu wako na hata wake bila kinyongo.

2.Msifiesifie kuwa unajisikia raha sana kufanya kazi chini yake.

3.Mzibie mapengo ya ujinga wake.

4.Bila kutaja jina la mtu, mwambie kuna watu wanamroga lakini wewe utahakikisha anabakia hapo kwani babu yako ni fundi wa huo utaalam.

5.Kama ni mlevi hakikisha kila mara wageni hasa Madiwani na Mkurugenzi anapokuja unamtetea sana kuwa jana mmefanya kazi mpaka usiku mnene na sasa ameenda kuoga, maana ulimuacha kazini.

6.Kama ni mzinzi hakikisha michepuko yake haigongani kazini kwa kumshtua mapema.

7.Hata akiwa hajapendeza mwambie pamba zimemkaa vizuri mno.

8.Chekacheka naye hata kama unahisi kutapika.

Ukifanya hivi kila fursa atakupa.
 
mwisho wa siku iyo yote itakuwa ni roho mbaya na unafki tu.. sasa utakuwa umemsaidia nini uyo boss wako
 
Natumaini mko salama mkizidi kulisongesha japo duh usawa mbovu huu, hatukawii kutumbuana ili tuonekane na sisi tupo tupo.

Napenda kuwapa hizi tips chache za kuweza kuishi kwa amani na hawa mabosi kazi wa kidjitali wasiojua kazi zao.

1.Kumbuka kutimiza wajibu wako na hata wake bila kinyongo.

2.Msifiesifie kuwa unajisikia raha sana kufanya kazi chini yake.

3.Mzibie mapengo ya ujinga wake.

4.Bila kutaja jina la mtu, mwambie kuna watu wanamroga lakini wewe utahakikisha anabakia hapo kwani babu yako ni fundi wa huo utaalam.

5.Kama ni mlevi hakikisha kila mara wageni hasa Madiwani na Mkurugenzi anapokuja unamtetea sana kuwa jana mmefanya kazi mpaka usiku mnene na sasa ameenda kuoga, maana ulimuacha kazini.

6.Kama ni mzinzi hakikisha michepuko yake haigongani kazini kwa kumshtua mapema.

7.Hata akiwa hajapendeza mwambie pamba zimemkaa vizuri mno.

8.Chekacheka naye hata kama unahisi kutapika.

Ukifanya hivi kila fursa atakupa.
Namba 2,4,6,5,7,na nane..,.siwezi unafiki sitafanya
 
Hamna kazi ngumu kama kufanya kazi chini ya boss mjinga mjinga hasa uwe umemzidi elimu. Wanakuaga hovyo sana hata ufanyeje kazi vizuri yeye atakua anajistukia tu na kuona kama unataka kumzidi ili uchukue nafasi yake.. Na asilimia kubwa ya mabosi uchwara hawashauriki. Ukimshauri yeye anajenga bifu na kuanza kukuona mchawi kwamba unamfundisha kazi. Tabu sana..!!
 
Mjinga ni mjinga tu, utamsifia na kujikomba kwake lakini siku ukikosea anakunyoosha km hajawahi kukuona. Lamsingi ni kuteleza wajibu wako
 
Back
Top Bottom