Marco Exavery
Member
- Aug 14, 2016
- 31
- 5
Habari wadau, Nimejaribu kufanya rooting ya tecno K7 lkn anaona inafeli. Naombeni msaada nifanye nn au nitumie app ipi maana simu yangu imekuwa kero kwan kila wakati application zinastop responding hadi inakuwa kero.