border mc
Member
- Sep 19, 2023
- 41
- 43
Naombeni kujua jinsi ya kufanya matangazo na mauzo mtandaoni kwa bidhaa za chakula
Yani kuandaa tangazo ni vitu gani nizingatie na vipi havina umuhimu, maana nataka nianze biashara kwa kutangaza mitandaoni ila sijui namna gani ya kutangaza
Msaada tafadhali, natanguliza shukrani
Yani kuandaa tangazo ni vitu gani nizingatie na vipi havina umuhimu, maana nataka nianze biashara kwa kutangaza mitandaoni ila sijui namna gani ya kutangaza
Msaada tafadhali, natanguliza shukrani