baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,255
- 1,268
Habari wakuu,
Nina tatizo, tatizo langu kubwa, stori fupi.
Naweza kukaa sehemu na watu mara ghafla akili inakuja nifanye kitu kibaya, na nikiona silaha pembeni akili ndio inahama kabisa. Natamani nitumie hiyo silaha nifanye mauaji kama kisu, panga, nahiyo sehemu kwa hofu huwa naondoka. Akili inanisukuma nifanye vitu vya ovyo, kama mauaji na vitu vingi.
Hata nikiwa barabarani, natamani niingize gari nipate ajali, tugongane na mtu uso kwa uso.
Ila hii hali ilikata miaka miwili iliyopita nyuma, baada ya kutoa uzi hapa JF nikielezea hilo. Nilipata comment nyingi mno, ila mtu aliniambia nitumie dawa fulani, na kweli nilitumia. Hali ile ikakata kabisa, ila sasa naiona inarudi kwa kasi sana. Muda wowote naweza kufanya jambo baya sana kwa jamii.
Ile ID yangu ya mwanzo nimepoteza. Sasa sina njia nyingine, naomba msaada wenu. Naogopa kukaa na watu karibu.
Naombeni msaada wenu wa madaktari. Muda unakuja, nitafanya ya ajabu.
Asanten.
Nina tatizo, tatizo langu kubwa, stori fupi.
Naweza kukaa sehemu na watu mara ghafla akili inakuja nifanye kitu kibaya, na nikiona silaha pembeni akili ndio inahama kabisa. Natamani nitumie hiyo silaha nifanye mauaji kama kisu, panga, nahiyo sehemu kwa hofu huwa naondoka. Akili inanisukuma nifanye vitu vya ovyo, kama mauaji na vitu vingi.
Hata nikiwa barabarani, natamani niingize gari nipate ajali, tugongane na mtu uso kwa uso.
Ila hii hali ilikata miaka miwili iliyopita nyuma, baada ya kutoa uzi hapa JF nikielezea hilo. Nilipata comment nyingi mno, ila mtu aliniambia nitumie dawa fulani, na kweli nilitumia. Hali ile ikakata kabisa, ila sasa naiona inarudi kwa kasi sana. Muda wowote naweza kufanya jambo baya sana kwa jamii.
Ile ID yangu ya mwanzo nimepoteza. Sasa sina njia nyingine, naomba msaada wenu. Naogopa kukaa na watu karibu.
Naombeni msaada wenu wa madaktari. Muda unakuja, nitafanya ya ajabu.
Asanten.