Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

Jamani. Mwanamke aliumbwa kumtegemea mwanaume. Tutake tusitake hivyo ndivyo ilivyo. Mwanamke anategemea mwanaume awe mlinzi na kinga yake. Hivyo unavyomtongoza tegemea hilo. Umkinde kwa kila kitu, usalama, chakula, nguo, urembo, n. k.
Kama hamtaki kuwalinda msiwatongoze.
Ubarikiwe mnooo teh ujazwe wewe na wallet yako
 
Wacha tukafie mbelee tuu nasema tumechokaaaaaa bora ninue malaya tu kuliko kuwa na mdada hana tofauti na malaya.
Kwendraaa kwani mnalazimishwa nasi tumechokaaaaaa kuona kind ya vimwanaume vinavojiliza kama vimefiwa
 
Wanaume wa sasa unaenda kutongoza na jeep ya kuazima,mashauzi kibao ukipigwa mizinga unakuja huku mbio kulalamika,
ila wadada wengine nao ni shidaa unapiga mzinga hadi wa hela ya pedi......
 
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako
Unamsikiliza, alafu humpi. Period
 
Mademu wa kibongo hawapendi kutafuta ndio maana hawana thamani wao kazi kuomba omba tu!!mi mwanamke aniombe hela ya mtaji sio vizinga vya kijinga kama nimempenda na kumuelewa na ninamuona kweli ana akili nampa lakini vizinga vinakera huwa namtoa thamani sana mwanamke anayeombaomba hela,hawataki kufanya kazi wanaamini kupanua miguu ndio solution ya maisha!!!mademu wa kibongo njaa tupu hafikirii kutafuta pamoja yeye anataka atafutiwe ukiuliza anajiona mzuri kweli wapumbavu, wazuri wako wengi na uzuri unaisha wanabaki kuchezewa na kutupwa kama vizibo vya soda!!
 
Mademu wa kibongo hawapendi kutafuta ndio maana hawana thamani wao kazi kuomba omba tu!!mi mwanamke aniombe hela ya mtaji sio vizinga vya kijinga kama nimempenda na kumuelewa na ninamuona kweli ana akili nampa lakini vizinga vinakera huwa namtoa thamani sana mwanamke anayeombaomba hela,hawataki kufanya kazi wanaamini kupanua miguu ndio solution ya maisha!!!mademu wa kibongo njaa tupu hafikirii kutafuta pamoja yeye anataka atafutiwe ukiuliza anajiona mzuri kweli wapumbavu, wazuri wako wengi na uzuri unaisha wanabaki kuchezewa na kutupwa kama vizibo vya soda!!
Baadhi wanapita hukohuko kwenye pesa ya mtaji baadae anasema biashara imeenda vibaya, kuwa makini zaidi.
 
Baadhi wanapita hukohuko kwenye pesa ya mtaji baadae anasema biashara imeenda vibaya, kuwa makini zaidi.
Nimesema kama nimempenda na nimemuona ana akili, biashara ikienda vibaya atajua mwenyewe, unaanza kwa kumpa hela mbuzi unamcheki anavyoenda kama anaenda vzr unamuongezea kama haeleweki sio umsaidii unampiga chini kabisa
 
Tumewachoka na huko kulialia kwenu kisa kupigwa vizinga. Kwanza wanaowapiga vizinga huku hawapo huo ujumbe hauwafikii walengwa. Nawashauli mkipigwa vizinga waambieni palepale msituchoshe.
 
Back
Top Bottom