Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

Jinsi ya kuepuka mizinga ya wadada

Nimesema kama nimempenda na nimemuona ana akili, biashara ikienda vibaya atajua mwenyewe, unaanza kwa kumpa hela mbuzi unamcheki anavyoenda kama anaenda vzr unamuongezea kama haeleweki sio umsaidii unampiga chini kabisa
Ukimpata anaeenda vizuri usisite kutoa taarifa
 
Wamekua omba omba halafu ni jeuri.. Mwingine ukimjibu Kuwa hauna pesa kinachofatia ni matusi na dharau tu, utadhani mulifunga mkataba, mweeee!! Hatariiii
 
Tumewachoka na huko kulialia kwenu kisa kupigwa vizinga. Kwanza wanaowapiga vizinga huku hawapo huo ujumbe hauwafikii walengwa. Nawashauli mkipigwa vizinga waambieni palepale msituchoshe.
Kisu kimegusa mfupa kabisa, pole sana
 
Wamekua omba omba halafu ni jeuri.. Mwingine ukimjibu Kuwa hauna pesa kinachofatia ni matusi na dharau tu, utadhani mulifunga mkataba, mweeee!! Hatariiii
Enheee hapo hapo kuna mmoja aliniombaga $200 nikamwambia plain & simple sina hyo hela (Hata ningekua nayo simpi).

Basi nakwambia kani block whatsapp simu zangu hapokei ...anajifanya hanichangamkii tena. Sasa huyu masikini jeuri anashangaza kweli mtu tulikua washkaji tu....ni mzuri ndio ila kwangu standards zangu hana....kumnyima hyo hela ndio ikawa nongwa and i'm like " Aaargh, Go to Hell ".
 
finally people are getting their senses, we endelea kuhonga wenzio wanatengeneza vitega uchumi na baadae ukifulia wanakucheka!
 
wenzenu wanazitoa bila ya kuombwa nyie mnalialia tu ndo maana mnawekwa wa spea
 
Huwezi sikia demu hata siku moja anakwambia,nikwambie dad wangu;Leo Nina ngenye twende unikaze!!!Utasikia yaani Leo nipo home nimelala cna hata mia ya kwenda town saloon,mtatishaaaaaàaaaaa,

Hawawezi sema wao wanataka pesa tu sijui pesa ndo zinawakaza ukitoa pesa napo ukazi vzr napo lawama
 
Kuna demu alikuwa ananiumiza kichwa kweli hapo mwanzo hasa ukizingatia mzee nimeoza zaidi ya kufa, kwa siku kama hajanipiga mizinga 7 basi mi5, nikiona namba yake naugulia haswa. Siku 1 nikasema mimi ujinga huu nitaenda nao hadi lini, basi nikapiga moyo konde kwamba KUANZIA SASA AKINIOMBA PESA JIBU NI MOJA TU SINA. Basi kuanzia siku hiyo kila akiniomba pesa jibu langu sina, kumbe mwenzangu kuomba kwake ni hobi yake maana pamoja na kila siku kumjibu sina bado anaendelea kuniomba na huu mwaka wa 6 natoka nae na kila tukikutana au nikimpigia au akipigia simu au hata sms ni lazima atanipiga mzinga,japo kwenye mizinga 80 atapata mzinga mmoja tu lakini hakomi.
 
Kuna demu alikuwa ananiumiza kichwa kweli hapo mwanzo hasa ukizingatia mzee nimeoza zaidi ya kufa, kwa siku kama hajanipiga mizinga 7 basi mi5, nikiona namba yake naugulia haswa. Siku 1 nikasema mimi ujinga huu nitaenda nao hadi lini, basi nikapiga moyo konde kwamba KUANZIA SASA AKINIOMBA PESA JIBU NI MOJA TU SINA. Basi kuanzia siku hiyo kila akiniomba pesa jibu langu sina, kumbe mwenzangu kuomba kwake ni hobi yake maana pamoja na kila siku kumjibu sina bado anaendelea kuniomba na huu mwaka wa 6 natoka nae na kila tukikutana au nikimpigia au akipigia simu au hata sms ni lazima atanipiga mzinga,japo kwenye mizinga 80 atapata mzinga mmoja tu lakini hakomi.
Hahahaha kumbe kupiga mzinga ni mazoea yake daaah kwa hiyo anafanya kama mchezo wa bahati nasibu vile
 
ama akijibu hivyo mwambie nilivyokuandikia sms nimepata dharura na sina kitu nilitaka unisaidie uone hilo jibu litakalokuja
 
Kwa kifupi ana bet na mikeka mingi inachanika
Hahaha umetisha mkuu.kitu kingine nimefurahi umejua tabia ya mkeo na unachukulia ni sehem ya maisha so wajua jinsi ya kumhandle.hapo kwa mtu mgeni ataona vizinga hivi ngoja nisepeee kumbe mwenzio ana bet tuuu hahahahah
 
Hahahaha kumbe kupiga mzinga ni mazoea yake daaah kwa hiyo anafanya kama mchezo wa bahati nasibu vile
Yaani alikuwa ananisumbua sana mwanzo,lakini kwasasa simuulizi kwanini hakomi kuomba na yeye haniulizi kwanini siachi kumjibu sina hata kama ataziona.
 
Tatizo kubwa si tu kwamba wanapiga mizinga, isipokuwa, hawana nidhamu wala shukrani baada ya Kupata huo msaada. Hili ndio linakwaza zaidi

Unavyokuwa muungwana zaidi, ndivyo unavyoonekana fala zaidi.

Aisee kweli, *****
 
Na hilo neno pia mwanaume mwingine ana hakikisha anafunguwa na wallet imejaa noti huku akijionyesha muache kuwatamanisha na wenzenu kwa makusudi.au ataanza historia yake nna nyumba mbili gari 4 naendesha hiki.mara nikupe nini sasa nao wadada wanafikiri eee kumbe mwanaume ndo anatakiwa kufanya hivyi.na dunia ya sasa kila mtu anasema hamnamapenzi ya kweli kwahiyo kila mmoja anataka kumtumia mwenzie.tungekuwa na mapenzi ya kweli haya yote yasingetokea

umeona eeeh wa kuazima magari, nyumba etc humu humu
 
Back
Top Bottom