Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
Hali ngumu watu wameamua kusema ya moyoni. Hatari sana
hahahahahahahaha
Hali ngumu watu wameamua kusema ya moyoni. Hatari sana
Daaaah heshima kwake mumeo kabahatika kupata mke anaye jielewa.tatizo na sisi tukipendwa hatujielewi mpaka tukishawapoteza ndio akili hungufuka na kuwa to late....heko kwako mdadaHaaaaaaa jamani ahsante ila mme yupo....ulikuwa wapi ungekuwa unaenda dinner saa hizi.haaaaa
Wenzio washazoe kuteleza kwenye mteremkoo kupanda mlima hawawezihivi ni kweli wanawake wanaomba hela kiasi hiki? maana itz too much wanavyotangazwa& ina maana wao hawatafuti hela zao forsa ziko nyingi hadi wawe ombaomba alowafukuza Makonda ni aibu hizi!
Mkuu mbona mtoa mada ni wa daa?Wanaume wa DSM hatuko hivo, hatukwepi mizinga! Mdada mwenye mzinga pse, auelekeze kwangu!
Ni majambazi ambao huwezi kuprove ujambazi wao mahakamani beyond the reasonable doubt
Wanawake wengi wamewapoteza wanaume wengi ambao huenda walikuwa wakiwapenda kwa dhati na pia wakiwa na malengo makubwa juu yao kutokana na wanawake hao kutokuwa na subira.
Hata kama we mwanamke una shida kiasi gani, kwa kweli ni jambo la aibu kwa mara ya kwanza kufahamiana na mwanaume fulani mara moja ukaanza kumweleza shida zako. Hata kama mwanaume alikupenda kiasi gani, tendo hilo peke yake linaweza kumvunja moyo wa kuendeleza ukaribu na wewe.
Wenzio washazoe kuteleza kwenye mteremkoo kupanda mlima hawawezi
Na hilo neno pia mwanaume mwingine ana hakikisha anafunguwa na wallet imejaa noti huku akijionyesha muache kuwatamanisha na wenzenu kwa makusudi.au ataanza historia yake nna nyumba mbili gari 4 naendesha hiki.mara nikupe nini sasa nao wadada wanafikiri eee kumbe mwanaume ndo anatakiwa kufanya hivyi.na dunia ya sasa kila mtu anasema hamnamapenzi ya kweli kwahiyo kila mmoja anataka kumtumia mwenzie.tungekuwa na mapenzi ya kweli haya yote yasingetokeahapo chacha, wao wenyewe wajiweka matawi wa juu, anataka kujionyesha anazo kwa msichana
Senior nimeolewa kaka na mtoto mmoja unataka kunishambulia nini lol.
Ndoa nyingi zimeingia kwenye migogoro na baadhi zimevunjika kwa upuuzi wa namna hii. Kuna umuhimu wa wanawake ku revisit mtazamo huuJamani. Mwanamke aliumbwa kumtegemea mwanaume. Tutake tusitake hivyo ndivyo ilivyo. Mwanamke anategemea mwanaume awe mlinzi na kinga yake. Hivyo unavyomtongoza tegemea hilo. Umkinde kwa kila kitu, usalama, chakula, nguo, urembo, n. k.
Kama hamtaki kuwalinda msiwatongoze.
Alitaka kutangaza ndoaaSenior nimeolewa kaka na mtoto mmoja unataka kunishambulia nini lol.
mkuu jiwe la gizani humpata yeyote! ukisikia uwiiiiiii! uwiiiiiiiii! ujue sindano imepenya na dawa imo kwente mishipa tayariTrick za nini. Nitaomba tu ikibidi..ukitaka utanipa..usipotaka usinipe. Ukiniambia sina ni poa pia maisha yanasonga. Wapo waelewa wengi tu wanatupa kwa moyo mmoja na hawana malalamiko wanatambua wajibu wao. Si lazima umpe mkuu. Baki hivyo hivyo na msimamo wako.
Haaaaa umenichekesha wewe asubuhi hiiiAlitaka kutangaza ndoaa
Ipi?Honga kwa sababu malumu
Kweli wewe chizi freshi. Utegemezi huo haukuundwa na binadamu. Ni wa asili. Huwezi kuikwepa asili.Ndoa nyingi zimeingia kwenye migogoro na baadhi zimevunjika kwa upuuzi wa namna hii. Kuna umuhimu wa wanawake ku revisit mtazamo huu
Utegemezi umelelewa kiasi cha kuvuka mipaka. Kuna changamoto zake najua na nadhani ndiyo maana waarabu wameamua mwanamke awe ni chombo cha starehe tu. "Sorry kwa hili lakini"Kweli wewe chizi freshi. Utegemezi huo haukuundwa na binadamu. Ni wa asili. Huwezi kuikwepa asili.
Sasa tumeenda sawa. AsanteUtegemezi umelelewa kiasi cha kuvuka mipaka. Kuna changamoto zake najua na nadhani ndiyo maana waarabu wameamua mwanamke awe ni chombo cha starehe tu. "Sorry kwa hili lakini"
utakuwa uliuelewa vema wimbo "shilingi yaua,"Mi nisipopigwa mzinga na demu, najua sipendwi hapo! Nachapa lapa