Huwezi sikia demu hata siku moja anakwambia,nikwambie dad wangu;Leo Nina ngenye twende unikaze!!!Utasikia yaani Leo nipo home nimelala cna hata mia ya kwenda town saloon,mtatishaaaaaàaaaaa,Mnataka muombwe nini wajameni? Mzoee tu maana hakuna namna!
Huwezi sikia demu hata siku moja anakwambia,nikwambie dad wangu;Leo Nina ngenye twende unikaze!!!Utasikia yaani Leo nipo home nimelala cna hata mia ya kwenda town saloon,mtatishaaaaaàaaaaa,Mnataka muombwe nini wajameni? Mzoee tu maana hakuna namna!
Ni kweli Mr Mtui,,mie dawa yao ni hii akisema jaman sina hela hata ya Kula namwambia tukutane palepale pa juzi (gesti)utaskia anavorukaaa!!!ha haaaaaa
Ndo tumeumbwa hivyo. Mtuzoeee.Huwezi sikia demu hata siku moja anakwambia,nikwambie dad wangu;Leo Nina ngenye twende unikaze!!!Utasikia yaani Leo nipo home nimelala cna hata mia ya kwenda town saloon,mtatishaaaaaàaaaaa,
Mi nisipopigwa mzinga na demu, najua sipendwi hapo! Nachapa lapaMnataka muombwe nini wajameni? Mzoee tu maana hakuna namna!
mayb ur a sheep in group of hyenaNdo tumeumbwa hivyo. Mtuzoeee.
Mimi namuomba yule ambaye nipo kwenye mahusiano nae na tena mahusiano ambayo yameshaimarika nisipo muomba yeye nikamuombe nani? Lakini pia huwa sipendi kuomba kila mara maana najua ni kero na pia si kila siku mwanaume anayo hela, na kama akiniambia hana huwa namuelewa na sio tatizo kwangu .ukiona nimeomba basi nimekwama hasa. Hao madem wanaowapiga mizinga kizembezembe hivyo mnawatoaga wapi? Labda nyie mnavyotongoza mnajidai mafogo..hapo mtapigwa mizinga kila siku.
Tatty,wewe ni mmoja kati ya mia,ni wachache saana waliobarikiwa km wewe but most of 'em ni aibu imagine dem unakutana nae kisa umtongoze tu,utasikia dear;unajua dear sina hata buku mbili ya boda niende home sa cjui km hasingekuona angeenda kwao vipi ni shhhida,kweli mjirekebishe mnatutoa kwenye stimu ya maloveloveNdo tumeumbwa hivyo. Mtuzoeee.
Mimi namuomba yule ambaye nipo kwenye mahusiano nae na tena mahusiano ambayo yameshaimarika nisipo muomba yeye nikamuombe nani? Lakini pia huwa sipendi kuomba kila mara maana najua ni kero na pia si kila siku mwanaume anayo hela, na kama akiniambia hana huwa namuelewa na sio tatizo kwangu .ukiona nimeomba basi nimekwama hasa. Hao madem wanaowapiga mizinga kizembezembe hivyo mnawatoaga wapi? Labda nyie mnavyotongoza mnajidai mafogo..hapo mtapigwa mizinga kila siku.
Ha ha haaaa hayaaaaa. Mizinga ni yenu..haiepukiki.Mi nisipopigwa mzinga na demu, najua sipendi hapo! Nachapa lapa
Hahahahahaha,ndo maanake,ila wanarukagaa,utasikia nipo mp dearVery simple, hakuna kutuma hela, anakuja kuichukua kwa mkono na atanikuta gesti
Anatoa service then ndo anapata stahiki yake, not necessarily apate alichoomba though
Hahahahaa "quantum meruit" MkuuVery simple, hakuna kutuma hela, anakuja kuichukua kwa mkono na atanikuta gesti
Anatoa service then ndo anapata stahiki yake, not necessarily apate alichoomba though
Buku mbili tu jamani? Mpe...halafu mwangalie tena siku nyingine kama ataomba. Na anaombaje.Tatty,wewe ni mmoja kati ya mia,ni wachache saana waliobarikiwa km wewe but most of 'em ni aibu imagine dem unakutana nae kisa umtongoze tu,utasikia dear;unajua dear sina hata buku mbili ya boda niende home sa cjui km hasingekuona angeenda kwao vipi ni shhhida,kweli mjirekebishe mnatutoa kwenye stimu ya malovelove
Tatty,dalili ya mvua ni mawingu ukiona mwanzo wa buku ujue tayari hapo sipo,mimi nina uzoefu na hili ndo maana mdada akianza tu haya mie mbio zangu ,but wadada wataalam wa mizinga ht hawabohi anakuja kwa nauli yake unamkuta hotel kajiagizia kinywaji chake na chakula kalipa bill yake,unafika nawe unapigwa kinnywaji analipa halafu nawe unaanzia hapo m pk unabanjuka nae kweli hapo mie naingia mfukoni bila hiana na kwa u pendo bila manunguniko namtoa kiroho safi bila hata kuombwaBuku mbili tu jamani? Mpe...halafu mwangalie tena siku nyingine kama ataomba. Na anaombaje.
Lakini na nyie kwanini msitoe bila kuombwa? Unakuta mtu mpo nae hata miaka mitatu hajawahi hata kujiongeza aseme ngoja nimpe mpenzi wangu buku kumi. Ni aibu! Hatuhitaji mtutunze kwa kila kitu lakini kuna vitu ni muhimu kabisa na ni wajibu wenu. Mkubali au mkatae...habari ndo hiyo.
Sikatai wanawake siku hizi wanapiga mizinga kijinga jinga.
As for me at times hela nitatoa ndio ila hizo dharau zake....harudii. Dem akijua umem undervalue aisee atajiona kinyaa sanaa.
Kuna siku nlitoka na dem flan sehem sehem tu akajikuta mlafi wa beer....nikamuagizia anabugia tu ki ulafi mi namuangalia tu mara nataka kula nikalipia buffet pia...Later baada ya kupiga show nikamkazia macho nikamuambia....
"Urn't of my standards and i seriously have lost taste in u nd u shud learn to make ur own money i ain't ur father"
Na baada ya show sijashoboka nae tena ili ajue she wasn't shit, yan nikimuona kama simjui, ilimsumbua sana. Yan kuna wengine kuongozana nao tu ni shida too many vizinga's hata kama ninayo hela huwa nawachana live sina.