Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
1.Jenga urafiki,jichanganye na watu
2.Fanya mambo mengi uwezavyo,nenda cinema,mazoezini,theatre,out na marafiki n.k
3.Pungunza malalamiko,kila mtu ana matatizo yake,be positive with everybody next to you.Shukuru kama umejaaliwa sehemu ya kuishi,milo mitatu kwa siku,afya njema,ndugu wanaokujali,watu wema wanaokuzunguka
4.Epuka uvivu tumia muda wako kufanya vitu unavyopendelea kama kuogelea,kusoma vitabu au majarida,kucheza mpira,kutembea au chochote kinachokupendezea
5.Tafuta kazi nzuri itakayokupa kipato cha kuotsha na cha kuridhisha
6.Uwe na courage ya kukubali nafasi mpya zikijitokeza,mfano jirani yako akikuomba mufanye kitu pamoja kubali,huwezi kujua siku yako itaishiaje.
7.Penda kutabasamu ni nzuri kwa afya yako.Tabasamu japo mara kumi kwa siku ukisalimiana na mtu tabasamu
- Kama ulikuwa na uhusiano ulovunjika anzisha uhusiano mpya
- kama upo kwenye uhusiano au ndoa tumia muda mwingi kuwa na mwenza wako
- kama una watoto,spend valuable time na watoto,fanyeni kitu kwa pamoja kama familia.
2.Fanya mambo mengi uwezavyo,nenda cinema,mazoezini,theatre,out na marafiki n.k
3.Pungunza malalamiko,kila mtu ana matatizo yake,be positive with everybody next to you.Shukuru kama umejaaliwa sehemu ya kuishi,milo mitatu kwa siku,afya njema,ndugu wanaokujali,watu wema wanaokuzunguka
4.Epuka uvivu tumia muda wako kufanya vitu unavyopendelea kama kuogelea,kusoma vitabu au majarida,kucheza mpira,kutembea au chochote kinachokupendezea
5.Tafuta kazi nzuri itakayokupa kipato cha kuotsha na cha kuridhisha
- Kama ni mwanafunzi soma kwa bidii ili uwe na mafanikio baadae
6.Uwe na courage ya kukubali nafasi mpya zikijitokeza,mfano jirani yako akikuomba mufanye kitu pamoja kubali,huwezi kujua siku yako itaishiaje.
7.Penda kutabasamu ni nzuri kwa afya yako.Tabasamu japo mara kumi kwa siku ukisalimiana na mtu tabasamu