sharobalo na watu kama nyie ndo mnahitajika jukwaa hl! Well saidSTEVE DII...Thanx u made my Day mkuu thanks so much...nimejifunza kitu kipya toka kwako kumbe ni override......dah....pamoja MKUU
'Amini mkuu hata kama wamebonya watu kumi...ukija wewe uka gonga hizo combination basii wewe ndie bosi the owner!!! lift itakuhudumia kwanza wewe then order itarudi ileile.....u r the bossssssss
'
sawa sijawahi kujaribu but mimi najuwa jinsi ya ku cancel floor! mfano by mistake ulibofywa floor ya 4 na unataka kwenda ya 7 .. utakacho fanya unahold ile namba for 10 sec... kijitaa kinajizima!... and yeh ni LIFTZA otis PEKE YAKE