Jinsi ya kuchaji maji

Jinsi ya kuchaji maji

Bado tunaendelea na tiba wazee

Ova
 

Attachments

  • IMAG0679.jpg
    IMAG0679.jpg
    305.6 KB · Views: 38
Hospital wameshindwa mkuu zaid wameniambia nivae hearing aid! But akatokea docta tena na kusema nitafte tiba mbada kwani sikio halionyeshi kama kuna tatizo hivyo hiyo aid hearing itanihatibia sikio!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu lakini kama bado hujapona, tafuta mmea wa bangi, mbichi ponda ponda majani yake na mbegu zake bila kuweka kitu chochote ukipata na mizizi itakuwa poa...baada ya hapo kamua maji yake tone kwa sikio linalosumbua...halafu leta mrejesho
 
Mkuu Mshana, asante kwa hii kitu. Haya ni mambo ya ying na yang, na chakra balancing. Ili isionekane huu ni ulozi, tueleze kidogo
  1. Why kwenye bakuli na sio kwenye sufuria, mtungi, ndoo, chupa , kikombe, glasi etc, why bakuli?
  2. Why uweke chumvi kidogo wakati natural water always ina chumvi kidogo?.
  3. Why kuweka jiwe angavu, what has that jiwe have to do na maji?, why quartz na sio any other stones?
  4. Why kuweka kiambazani?, na sio sebuleni, jikoni, mezani?.
  5. What has mwezi got to do with maji?
  6. Why mwezi mpevu, sio mwezi mchanga, sio mwezi mwandamo, sio full moon?
  7. Why mwanga wa mwezi, na sio mwanga wa jua, nyota, mwanga wa taa, mwanga wa tochi?
  8. Why uweke usiku, why sio asubuhi, sio mchana sio jioni?
  9. Why uyatoe alifajiri, kwa nini usiyaache hadi mchana, hadi jioni hadi usiku?
Paskali
Logic reasoning
 
Linafanana na kioo linapatikana chini ya miamba ambapo hapo mwanzo kulikuwa na mapito ya maji kisha yakatuama na 'kuganda'
Quartz ina nguvu kwenye ulimwengu wa roho... Mao Tse Tung rais mkomunist wa China alizikwa kwenye kaburi lililozungushiwa quartz! Yuko hivyo hivyo mpaka Leo... Kwa Wachina quartz ni alama ya nguvu na mamlaka View attachment 583193kuna mada yake ngoja nikutag

Sent using Jamii Forums mobile app
Blaza ina mana Mao hajaozaga mpk leo ?? Hii nlikuwa siijui asee
 
Wajameni
Biashara!
Biashara!
Nauza
Quartz stone
Kwa anayehitaji
Anitafute
Pm
Asanteni
 
Back
Top Bottom