mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,697
Ngoja kwanza nimpe madame v wengine ntawapatia tu
Ova
Ngoja kwanza nimpe madame v wengine ntawapatia tu
Hilo hilo lina chaji isiyoishaSasa mkuu swali langu ni ivi nikiwa na hilo jiwe moja kila wakati naweza litumia hilo hilo au kila nikitaka tengeneza mambo lazima niwe na jiwe jipya?
Sent using Jamii Forums mobile app
mshana jr umeshatuma maombi kwa Invisible kuhusu uwepo la jukwaa husika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari kaka na majibu ni chanya
Jr
Mrangi kumbe upo kayi kabisa.Njoo jiokotee kwangu nnazo za kumwaga
OvA
Kule Kna wakati nishafanya sana huo mradi wa quarts sehemu za loo...na zoisa ILE njia ya kutokea isava Kna quartz nzuri sana znatokaMrangi kumbe upo kayi kabisa.
Kwetu KONDOA yanapatikana kwa wingi mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pwani
Jr
poa kaka
Jr
Mmmmh watu mnamambo mengi duuuh mpaka najisi mie Niko mstari Wa mwishoNjoo jiokotee kwangu nnazo za kumwaga
OvA