Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,224
- 4,808
huyo jamaa alirudi kwenye hilo basi kweli?Mimi sina mke sinyora..namsubiria BWANA anipe mke mwema
Lakini kiukweli kufumwa ukiwa unapiga nyeto ni fedheha kubwa sana,siyo na mkeo Tu Bali hata na mtu yeyote hata awe mshikaji wako.Punyeto inapigwa Kwa Siri sn,km upo home lazima mlango na madirisha uhakikishe haviko wazi
Nikupe kisa kimoja;mwaka Fulani nyuma Sana kuna wasafiri Walikuwa wanatoka Dar es salaam kwenda Lindi na basi la abiria,Kama ilivyo Ada gari lilipofika kilwa sehemu wanaita nangurukuru abiria wakashuka kwenda kula,abiria mmoja akaingia chooni,enzi hizo hotel za Kula hazikuwa za kisasa Kama za miaka hii so Choo pia kilikuwa cha kienyeji Tu kina ukuta wa makuti ya mnazi.jamaa alipoingia akachomoa dudu akaanza kusuuza lungu Kwa mkono huku amefumba macho kuvuta hisia za Kula tunda..
Basi nyeto ikazidi utamu miguu ikaanza kulegea na mgongo kupinda wazungu wanakaribia kutoka(hapa wataalamu wa chaputa wananielewa,mtu ukipiga nyeto wakati umesimama wima,wazungu wakikaribia kutoka huwezi kusimama tena sawasawa,lazima upinde mgongo utake usitake)..basi jamaa Kwa utamu si akaegemea ukuta!! Bwana bwana!!Miti iliyoshikilia Ukuta wa Choo si ilikuwa imeoza,jamaa kuegemea Tu akashuka nao Ukuta wote chini chaliii..basi abiria waliokuwa maeneo Yale wakabaki wamepigwa na butwaa kumwona mtu ameanguka na Choo chake alafu mkono wake umeshikilia dudu huku linacheua wazungu
dada achana na nyeto,ukiwa unapiga wanawake wote unawaona hawana maana yoyote
Ila sasa punyeto inaleta mfadhaiko sn..ukishamaliza kupiga unajisikia vibaya sn na hutamani kurudia,Ila zikipita siku kadhaa unajikuta unahamu ya kurudia tena na tena na huo ndy unakuwa mfumo wa maisha yako Hadi pale neema ya MUNGU itakapokushukia ukaacha