Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,940
- 23,178
Hata Mimi ndivyo nilivyosikia Ila sikuwa na uthibitisho ndy maana nimekausha baada ya jibu la mleta mada..maana jamaa kapinga comment yangu ya Kwanza nikajaribu kujitetea tena pia kasimamia pale pale kwamba mate hayaathiri chochoteMimi niliambiwa na daktari bingwa kabisa wa masuala ya uzazi kwamba mate yanaharibu sperms, si vizuri kuyatumia wakati wa kuitafuta mimba
Nikakaa kimya coz no research no right to speak