Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Dah,wakuu hii noma,yan ctak kuamin leo nimeipata had zee cinema. Sa najiuliza wakish2kia jamaa itakuaje. C watatukata utam nasi 2shazoea bure.
 
Dah,wakuu hii noma,yan ctak kuamin leo nimeipata had zee cinema. Sa najiuliza wakish2kia jamaa itakuaje. C watatukata utam nasi 2shazoea bure.


umeona sawa. pengine hata wameachia makusudi mzowee. Mkishakuwa mumekolea watabana ham itafanya mlipie--tena kwa bei ya juu kuliko leo. unakumbuka ile ya Tigo (BuZ ilikuwa inaitwa nadhani)--ile longa-longa bure had asubuhi? yako wapi leo. Wanakuzoeza kwanza halaf baaam; bure inakatwa na bei inapanda.
 
Wakuu heshima kwenu!!

Napata tatizo la "non conax program" msaada hapo tafadhali
 
Ingia menu, then system setting, then channel search, right click kwenye manual search then andika 531 au 570 then ok

nimeingia menu, nikaclick system setting lakini naambhwa niingize code nne zinaonyesha (????)
Tunafanyeje hapo wakuu.?
 
Ingiza code "0000"

Ahsante mkuu, ila nimepata channel 13 tu,
1. Atn
2. Tbc
3. Setanta Africa
4. Aljazeera
5. Tbn
6. Channel 10
7. Cnn
8. Muvi tv Africa
9. Itv
10. Mbc
11. Star tv
12. Emmanuel tv
13. Colors.

Nitazipataje channel zingine mfano eastv,dtv,fox, etc.?

Here at mwanza.
4.
 
Nmejaribu nimeweza ila kuna kiujumbe hakitoki kinasema . Non- Conax Program
 
kwanza nikutaarifu kuwa huyo dada anaheshimika sana humu jamvini so stop ujinga wako wa kutukana watu usiowajua.ujinga wako peleka huko kwenu.pili sio peke yako uliyejaribu hiyo kitu inayoongelewa nakushangaa hizo channel kibao unazozisema ziko wapi coz ukiangalia zimeongezeka kama 12 tu na hizo kuna kibox za non-conax program kinagoma kuondoka.
Yaani sijui ni kwa nini post ya hili Jinga ndio nimeiona leo!! una bahati sana next time nakutandika makonzi tu.
 
Ahsante mkuu, ila nimepata channel 13 tu,
1. Atn
2. Tbc
3. Setanta Africa
4. Aljazeera
5. Tbn
6. Channel 10
7. Cnn
8. Muvi tv Africa
9. Itv
10. Mbc
11. Star tv
12. Emmanuel tv
13. Colors.

Nitazipataje channel zingine mfano eastv,dtv,fox, etc.?

Here at mwanza.
4.

Mi pia nimezipata hizo Arusha code 515

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ni hizo tu mkuu, kwa mtido huu ofisi za mawakala wao watafugia kuku kama ya hapo Misheni!
 
ingia kwenye serching kisha
ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza
tu tunamaliza
appoh eeh,na mimi wa morogoro je niweke code zipi ikubali coz hzo ulizonipa nimetest zimegoma,halafu hyo 531 nikiweka automatically inajiweka 530,sijui why mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wandugu naomba mnisaidie. Ninapobadili chanel au kuongeza na kupunguza sauti muonekano wa herufi au namba uko faint sana,hii inasababishwa na nini?
 
Back
Top Bottom