Huna akili wewe, mimi nimeshaingiza hizo code na naangali machanel kibao ninapokwambia muda huu. kama akili yako inawaza ngono huwezi kujuwa kama kuna wanaume wanakesha na kuumiza vichwa kurahisisha maisha, kaa nyumbani kuna nazi mambo mengine waachie watu wenye akili timamu.
Chanel nyingi za Star times ni za bure si za kulipia ila kwa sababu Tanzania wamejaa vilaza kama wewe ndio maana wanaziscramble mlipie, na Serikali kwa kujuwa inatawala vilaza na Mambululas subiri mwezi huu uanze kulipia kodi ya simcard yako.
kwanza nikutaarifu kuwa huyo dada anaheshimika sana humu jamvini so stop ujinga wako wa kutukana watu usiowajua.ujinga wako peleka huko kwenu.pili sio peke yako uliyejaribu hiyo kitu inayoongelewa nakushangaa hizo channel kibao unazozisema ziko wapi coz ukiangalia zimeongezeka kama 12 tu na hizo kuna kibox za non-conax program kinagoma kuondoka.