Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

mambo mengine yanataka akili hapa ushawazoa wengi wanaopenda vitu vya dezodezo bila kujituma wewe unafikiri wachina wajinga wakupe code hovyohovyo nenda wadanganye wengine sisis tumeshakujua
ingia kwenye serching kisha ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza tu tunamaliza
 
mambo mengine yanataka akili hapa ushawazoa wengi wanaopenda vitu vya dezodezo bila kujituma wewe unafikiri wachina wajinga wakupe code hovyohovyo nenda wadanganye wengine sisis tumeshakujua
Huna akili wewe, mimi nimeshaingiza hizo code na naangali machanel kibao ninapokwambia muda huu. kama akili yako inawaza ngono huwezi kujuwa kama kuna wanaume wanakesha na kuumiza vichwa kurahisisha maisha, kaa nyumbani kuna nazi mambo mengine waachie watu wenye akili timamu.

Chanel nyingi za Star times ni za bure si za kulipia ila kwa sababu Tanzania wamejaa vilaza kama wewe ndio maana wanaziscramble mlipie, na Serikali kwa kujuwa inatawala vilaza na Mambululas subiri mwezi huu uanze kulipia kodi ya simcard yako.
 
mambo mengine yanataka akili hapa ushawazoa wengi wanaopenda vitu vya dezodezo bila kujituma wewe unafikiri wachina wajinga wakupe code hovyohovyo nenda wadanganye wengine sisis tumeshakujua

kabla ya kukurupuka vema ukasoma post za wenzako ambao wameshajaribu
 
zimeongezeka mkuu,asante nimepata hadi emmanuel tv,yaani hawa startimes hadi channel za bure wanataka tulipie.
Ngoja nisubiri azamtv niangalie channel 100 kwa malipo tshs. 2000 tu
 
zimeongezeka mkuu,asante nimepata hadi emmanuel tv,yaani hawa startimes hadi channel za bure wanataka tulipie.
Ngoja nisubiri azamtv niangalie channel 100 kwa malipo tshs. 2000 tu
mi niko arusha anayefaham code za arusha anijuze
 
zimeongezeka mkuu,asante nimepata hadi emmanuel tv,yaani hawa startimes hadi channel za bure wanataka tulipie.
Ngoja nisubiri azamtv niangalie channel 100 kwa malipo tshs. 2000 tu
Kiache tu kile kimlupo kinachodhani hapa ni chit chat.
 
Wakuu huu uzi si uhamishiwe kule store kwetu maana hapa naona 36 guest wanapiga chabo so hawa TBCCM watatuwekea kauzibe bure
 
safi sana,papuchi zao hawa,kwanza ilitakiwa iwe bure
 
Huna akili wewe, mimi
nimeshaingiza hizo code na naangali machanel kibao ninapokwambia muda
huu. kama akili yako inawaza ngono huwezi kujuwa kama kuna wanaume
wanakesha na kuumiza vichwa kurahisisha maisha, kaa nyumbani kuna nazi
mambo mengine waachie watu wenye akili timamu.

Chanel nyingi za Star times ni za bure si za kulipia ila kwa sababu
Tanzania wamejaa vilaza kama wewe ndio maana wanaziscramble mlipie, na
Serikali kwa kujuwa inatawala vilaza na Mambululas subiri mwezi huu
uanze kulipia kodi ya simcard yako.

1luv kaka,wachane jamaa za mafisadi hao,wanafikiria kitumbua chao kinapoingia mchanga tu,hawa hawana tofauti na tanesco,tuwakwibie tu
 
zimeongezeka mkuu,asante
nimepata hadi emmanuel tv,yaani hawa startimes hadi channel za bure
wanataka tulipie.
Ngoja nisubiri azamtv niangalie channel 100 kwa malipo tshs. 2000
tu

haaaaa!,kumbe hata hyo ni ya free sema hawa wehu waliipin?,kwibaa,wezi hawaa
 
mi niko arusha anayefaham code za arusha anijuze

weweee,hzo code ni countrywide,hebu jaribu mkuu,kwani ulijaribu ikabuma,mi mbona nipo mji kasoro meli nakula michaneli yotee bila kuacha hata moko
 
ione mijitu ilivyofurahia,mingi haina mihela ya kulipia ving'amuzi vyao ingawaje airtime zao zimeisha,ngoja bepari wa kichinga a.k.a mzee wa gesi ntwara tuikomboe gesi yetu mpate kila huduma buree kupitia gesi tu
 
umerudia nlicho wai kukiandika katika jukwa laa Technologia nadhani miezi minne imepita kama sio mitano

Mkuu hebu nipatie zile za ughaibuni, nimekwama kuangalia u-21 world champion!! na mashindano mengine makubwa!!
napenda soka sana!!!
SP
 
msaada kile kibox ukikitoa kinarudi tena!ni vipi jinsi ya kukitoa moja kwa moja?msaada
 
msaada kile kibox ukikitoa kinarudi tena!ni vipi jinsi ya kukitoa moja kwa moja?msaada
 
msaada kile kibox ukikitoa kinarudi tena!ni vipi jinsi ya kukitoa moja kwa moja?msaada
 
Back
Top Bottom