Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Nilijua tu, wabongo hatari. Haya, nambie basi na Zuku inabomolewaje?
 
Sio kuangalia bure, ila chanel zitaongezeka mwisho wa mwezi ni lazma ulipe tena so hamna bure.
 
Si kweli bwana.Hizo ni frequency za startimes zipo nyingi ikiwapo 531,682, 520 n.k ukiweka hz automatical unazipata ila ulizolipia tu.
 
umerudia nlicho wai kukiandika katika jukwa laa Technologia nadhani miezi minne imepita kama sio mitano

Sure, mwanzo wa mgomo wa star TV. Ulinisaidia kupata pia CNN, Press TV, Emmanuel n.k. So hata sijui kama walitii maagizo ya TCRA ama lah. I do appreciate mkuu.

tragedy of the commons
 
mwizi mkubwa wewe. badala ya kuwafundisha raia kulipia huduma zao wewe unawafundisha kuiba, tena unaliibia shirika la umma [TBC]. Hapa tafsiri yake ni kuwa unatunyima kodi ambayo ingetusaidia kimaendeleo.
Acha hizo bana... tii sheria bila shuruti....
ingia kwenye serching kisha ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza tu tunamaliza
 
Da fresh sana. Kitu chenyewe bila chenga mazee. We ni nooooooooooma mzee!
 
Ha ha ha,startimes ni majambazi wakubwa,chanell wanazotulipisha ni za bure(free to air channels) na ndio mana zinakamata bila tabu,ukifungua google wanakuambia kama BBC,ALJAZLA NKni za buree na hata wao wamezichukua hewan kama tunavyochukua sisi.
Imekula kwao na kibaya zaidi hawana uwezo wa kuwalazimisha wenye chanel wazifanye za kulipia,MTAENDELEA ---- BURE WALA MSIWE NA WASIWASI.hata kama hapa wanaona hawana cha kufanya.
 
Back
Top Bottom