Hhahahah ikipatikana dawa ya kuacha kuvuta Sigara ninafikiri Serikali pia itapiga marufuku hizo dawa zisiuzwe kabisa maana kiwanda cha Sigara kitafungwa na Serikali itapata hasara kwa dawa hizo za kuacha kuvuta Sigara. Hakuna hata Serikali moja duniani inayopiga vita Sigara Serikali za dunia ni kupiga vita Madawa ya kulevya wakati Aduwi mkuu wa binadamu Sigara Serikali za dunia zimenyamaza kimya tu.
...wacha mambo ya kitoto,kwani ulipoamua kuanza kuvuta hayo masigara yako ulimshauru mtu?dawa ni moja tu,kama ulivyoamua kuanza kuivuta sigara,basi leo amua kuwacha kuvuta sigara.hio ndio dawa.
Kichwa box njia ya kuacha unayo. Na uache tamaa
Mkuu Zingatia Kuwa Huwezi Kukatiza Uvutaji Ghafla Bali Kwa Hatua.
Njia Ya Kwanza:
Kunywa Chai Rangi Mara Ukiamka Asubuhi,kisha Saa 12 Jioni Na Saa 3 Usiku
Njia Ya Pili:
Kunywa Maji Kila Unapohisi Kiu Ya Sigara.