Kama ni mwalimu unafundisha wanafunzi Darasa zima litafell hujui kufundusha weka hivi weka hivi ndio nn kamq mtu anakuonaKubold au kufanya maandishi yawe mazito weka hivi andika utakacho hapa halafu weka hivi
Kufanya maandishi ya rangi weka hivi [color=weka jina la rangi] andika utakacho hapa halafu weka hivi. [/color]
Kufanya maandishi ya kulala yani Italic weka hivi andika utakacho halafu weka hivi
Kikubwa zingatia hizo bracket na herufi zilizomo ndani ya bracket.
Nakutakia mafanikio
Sent from my VFD 1100 using JamiiForums mobile app
Najaribu