Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Ni story ndefu kidogo ila nadhani nishasimuliaga humu.... Kuna kipindi nilirudisha mpesa yake Smart911 kama mara mbili hivi namjibu Sina njaa kiivo na sinunuliwi kwa pesa mimi .... sema he's so genius yaliyofuata mwenyewe nilisalute... na mpaka leo namshukuru sana mungu kwa ajili ya Smart911
Napenda kweli nimtumie mwanamke laki nne airudishe kwa jeuri, huyo namfungulia na kampuni kabisa
 
mtakuja kutongoza majini, kwani mtaani kwenu au kazini au popote hukutani na wanawake, unataka wa humu ili ukimla uje utusimulie???
 
Sijui ibilisi gani kanileta huku kwenye jukwaa la ufuska. Ngoja nirudi zangu jukwaa la dini nikalishe watu neno la Mungu
 
Back
Top Bottom