Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Leo lazima tuambiane ukweli mchungu humu ndani...unakuta mtu analeta mashauzi kibao...."ohhh mi bila laki sijibu pm zako"....most of them are fake...ndo hao wanaoongoza kwa kupigwa free P....yaani limtu ukiliangalia haijulikani sjui kiuno kiko wapi wala kifua vyote vimeungana but ulikute humu jf linavyojishaua sasa

Sio povuuu...tunajaribu tu kuwekana sawa...mnashindwa kujibu mna nini haswa cha kufanya mtumiwe iyo laki moja wakati wengi wenu humu tunawafahamu hamna tofati na wasichana tunaoishi nao huku mtaani na hawa fake maisha kama nyinyi...eti sjui you need real men...real men atokee wapi kwa watu kama nyinyi ambao most of you are fake


😀😀😀😀😀 hii kali..kumbe kuna wengne wanaweka had dau!sasa na ww usituchanganyie habari !huwez kuniambia mtu km evelyn awe anajiuza!wanaojiuza lazima waje na matashititi kibao! na mbona wanajulikana hao m siwasemei...
mm nawasemea hao wengne wenye uwezo wa kutafuta ht 100 akaipata bila bugudha!😕😕
 
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!

Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz

Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.

*nafundisha kutongoza bure
Hahahahah aiseeee
 
Leo lazima tuambiane ukweli mchungu humu ndani...unakuta mtu analeta mashauzi kibao...."ohhh mi bila laki sijibu pm zako"....most of them are fake...ndo hao wanaoongoza kwa kupigwa free P....yaani limtu ukiliangalia haijulikani sjui kiuno kiko wapi wala kifua vyote vimeungana but ulikute humu jf linavyojishaua sasa

Sio povuuu...tunajaribu tu kuwekana sawa...mnashindwa kujibu mna nini haswa cha kufanya mtumiwe iyo laki moja wakati wengi wenu humu tunawafahamu hamna tofati na wasichana tunaoishi nao huku mtaani na hawa fake maisha kama nyinyi...eti sjui you need real men...real men atokee wapi kwa watu kama nyinyi ambao most of you are fake
Ha ha ha approach ya wine imekutibua nyongo, hebu iache ufate approach ya kumwaga likes nacheka kama mazuri
 
Ila ujue hadi kuja kuwinda mtandaoni nawe ni feki tu...kweli woooote huko mtaani hujaona?
Kuwinda mtandaoni sio u fake...mtu anaweza penda labda the way unavyochangia topic humu or unavyojipambanua humu kuwa ni mtu wa namna fulani...u fake ni kuishi maisha tofauti na unavyojipambanua humu...yaani unajifanya wewe expensive mtu asiye na hela asikusogelee wakati huko mtaani unapigwa free P haswaaa
 
Kuwinda mtandaoni sio u fake...mtu anaweza penda labda the way unavyochangia topic humu or unavyojipambanua humu kuwa ni mtu wa namna fulani...u fake ni kuishi maisha tofauti na unavyojipambanua humu...yaani unajifanya wewe expensive mtu asiye na hela asikusogelee wakati huko mtaani unapigwa free P haswaaa
Asee
 
Back
Top Bottom