Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

yaan km umenisoma ungeleewa!sijjasema mm nikutegemee wewe kwa kila kitu...point iliopo hapa ni jinsi ya kumuwin mwanamke fast..mm hustle zangu ht ww huweki pua... ila tunapenda kuwa aprecciated.. unajua huyu mwanamke anajiweza na ww unamtaka!kwan ukimpa zawad itakucost nn ww..! ala!
Hapa wababe sisi tusio tongoza tu.
 
Leo lazima tuambiane ukweli mchungu humu ndani...unakuta mtu analeta mashauzi kibao...."ohhh mi bila laki sijibu pm zako"....most of them are fake...ndo hao wanaoongoza kwa kupigwa free P....yaani limtu ukiliangalia haijulikani sjui kiuno kiko wapi wala kifua vyote vimeungana but ulikute humu jf linavyojishaua sasa
mbona povu kaka!hahahaha!kwan umelazimishwa kuja pande hii my dear!poyeee
Sio povuuu...tunajaribu tu kuwekana sawa...mnashindwa kujibu mna nini haswa cha kufanya mtumiwe iyo laki moja wakati wengi wenu humu tunawafahamu hamna tofati na wasichana tunaoishi nao huku mtaani na hawa fake maisha kama nyinyi...eti sjui you need real men...real men atokee wapi kwa watu kama nyinyi ambao most of you are fake
 
Leo lazima tuambiane ukweli mchungu humu ndani...unakuta mtu analeta mashauzi kibao...."ohhh mi bila laki sijibu pm zako"....most of them are fake...ndo hao wanaoongoza kwa kupigwa free P....yaani limtu ukiliangalia haijulikani sjui kiuno kiko wapi wala kifua vyote vimeungana but ulikute humu jf linavyojishaua sasa

Sio povuuu...tunajaribu tu kuwekana sawa...mnashindwa kujibu mna nini haswa cha kufanya mtumiwe iyo laki moja wakati wengi wenu humu tunawafahamu hamna tofati na wasichana tunaoishi nao huku mtaani na hawa fake maisha kama nyinyi...eti sjui you need real men...real men atokee wapi kwa watu kama nyinyi ambao most of you are fake
Mkuu kapicha basi au jiwe la gizani
 
Back
Top Bottom