Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Evelyn Salt ameongea kitu ambacho tuliteseka nacho zamani ila kwa sasa kimerahisishwa na hii mitandao.

Research, information availability. Back then ulikuwa huwezi kujua mtu unayetaka kumuapproach ni mtu wa namna gani, anapendelea nini, michezo, siasa, udaku, urembo etc mpaka akwambie mwenyewe. Humu kwenye mitandao taarifa zipo, msome mwelewe...

Unapomfata unakuwa unataarifa kamili juu yake, mistari inakuwa direct to point, hata mkichat siku nzima hamchoshani, tengeneza mazingira ya mtu kuisubiri reply yako kwa hamu, akitaka kujua umeandika nini.

Be interesting, learn how to listen what she wants you to hear, na uwe na kumbukumbu ya details ndogo kulingana na ulivyomsoma.
Ulistahili ile tuzo mkuu.
 
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!

Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz

Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.

*nafundisha kutongoza bure
Kuna siku nitakuandikia pm kwa kilatini ushinde unagoogle
 
Back
Top Bottom