Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
machale kunde sir!pande za kilimanjaro wanasema kiruuu!!! Nga stukaa
machale kunde sir!pande za kilimanjaro wanasema kiruuu!!! Nga stukaa
Jamani si samaki tu kama papa? Jipapa! Kipapa! Na wengineo tatizo la kusoma shule za 'saints nanihii' hilo! Hata lugha nyepesi inakuwa taaaabu kuipata! Ndo maana mnapewa offside trick!
hahahah Canta.. mamboooooooooooooooooooooooooooooooooooHaya bwana prakata windek!asante kwa kunitasababisha!
Nampaka chumvi,kisha namuandaa mezani namla upande huu,nikimaliza namgeuza upande mwngne,anashombo sana lazima ninawe,huyo SAMAKI jins anavyoliwa,maana anavpande vitatu
kweli ww unapepo ngoja nikuitie mchungaji humu akuombee maana damu yako imechanganywa na pepo la kufikiri mabaya kwani samaki ni nn?hujawahi kula weye??????/joseph! wewe ***** kweli embu tutolee fikra zako za ki pepo! una pepo nini? jiheshimu bana.
we huli samaki?Pole samaki
yakhee wachelewa weye tafuta wako uumle maana mtamu kweliEee bana we!
samaki mtamu ati!!Du jamaa anafaidi, kula kwa nafasi....baada ya kumwekea chumvi...au sio samaki huyo?
Mzee wa Rula long time kaka, kwema ndugu yangu? kimnya sana?Samaki huyu ni kama yule wa Off Side trick waliomwimba, watoto wa Kizenji?
KweliKwanini huo ujumbe usinge uweka huko facebook mana hautusaidi tena wala haujengi zaidi ya kuhalibu madili.usijenge chuki nami huo ni mtazamo wng