Jinsi ninavyo mla,

Jamani si samaki tu kama papa? Jipapa! Kipapa! Na wengineo tatizo la kusoma shule za 'saints nanihii' hilo! Hata lugha nyepesi inakuwa taaaabu kuipata! Ndo maana mnapewa offside trick!

wamesoma shule za apple,zile please teacher may i go have ice-cream,wakat s tunasema ashkrimu
 
joseph! wewe ***** kweli embu tutolee fikra zako za ki pepo! una pepo nini? jiheshimu bana.
kweli ww unapepo ngoja nikuitie mchungaji humu akuombee maana damu yako imechanganywa na pepo la kufikiri mabaya kwani samaki ni nn?hujawahi kula weye??????/
 
Back
Top Bottom