Mili yetu huwa ipo controlled na ubongo. Ukilala sehemu ya ubongo unakuwa haifanyi kazi. Mwili unawekwa katia hali ya paralyze ili kuzuia movement ya mwili.
Unapoamka usiku unajaribu kuudanganya ubongo kuwa umeamka basi sehemu ya ubongo inakuwa katika hali ya kuamka.
Unaporejea kulala, kuna part ya ubongo unauweka mwili katika hali ya kulala na ubongo unaotunza kumbukumbu unakuwa upo active. Kwahiyo matukio yote yanayotokea kwenye nafsi utaanza kuwa unayarecord.
Sasa ukiwa upo macho muda wote utakuwa huja cheat ubongo ili uweze ku access some information.
Naweza nikaishia hapo kwa sasa. Hiki kitendo kinasaidia sana.