Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Ni kweli, kuna uzi fulani niliwahi kuchangia kuhusu uhalisia wangu, kitu ambacho wengi walikataa kwamba haiwezekani kwa kiumbe hai kupitia hali hiyo, na wakatoa na sababu zao. Ilibidi niache hata kuendelea kueleza. Wakati mwingine tuwape watu nafasi wajieleze tutajifunza mengi sana.
Nitag mkuu nikakupe like yako
 
NAENDELEA...

Ninachoomba tuelewane kwanza hiki ninachokifanya ni kuweka msingi wa formula. Je nikiweka formula tu tutaelewa kweli!?

E = Existence
P = Physical experience
R = Realm
S = Source of Nature
SP = Spiritual body
C = Causality
F = Vibration of Void

Katika calculation nitakazozileta nitakuwa natumia hizo letters.
Wachache tushaanza kukuelewa hapa....
 
ilitakiwa ukiweka formula unaielezea na application zake
Huenda hao viumbe walimpa elimu ila hawakumpa uwezo wa kuiwasilisha watu wakaielewa. Ulishawahi kukutana na mwalimu wa sayansi anajua sana lakini jinsi ya kuwafundisha wanafunzi wakaelewa inakuwa ngumu kwake. Mimi mwenyewe sina kipaji cha kueleza watu mambo ninayoyajua wakaelewa kwa urahisi.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mkuu mbona unatuambia mambo ya kusadikika
Tusiyoyafahamu sisi huoneka ni mambo ya kusaidikika kweli. Ngoja tuone ataishia wapi maana viumbe wamemfundisha ambayo sisi hatuyafahamu na tunapata shida sana.😆😆
 
Sasa wewe si zaidi yake mkuu, ndiyo maana ninakuaminia nikakuomba hata kapicha. Do black holes really exisist? Je black matter mkuu vipi?
Na vipi uhalisia wa quantum physics katika maisha yetu?
Nataka kwenda Pluto mie
 
Mkuu unaniondoa kwenye reli. Yeye mwenyewe hajatupia hata kapicha. Hajui hata mars inaonekanaje. Ni ndoto yake tu.
Anapiga pesa za wamarekani
Nimuulize swali mkuu Venus. Baada ya kupewa hiyo formula, je ulishawahi kuiapply katika maisha yako? Na je ilikufikisha mpaka wapi katika hili likitu linaloitwa universe?
 
P = (R0+C)* SP
Hii formula inatumika kuleta matokea katika maisha yetu ya kila siku.

Maishs yetu ya kila siku yanakuwa affected na energy ambayo inatokana na jua. Kwa hatua hii tunaweza kusema hatuwezi kubadili chochote.

Ndio maana nikasema R0 is constant.
Kuna C ambayo ninesema ni Causality.
Nimejaribu kuongelea genome kwamba imebeba genes zote.
Zipo genes zaidi ya 30,000 kwa binadamu.
Sasa Causality ni activities zote zinazoleta positive au negative results kwenye genome.

Activities hizo zinaweza kusababiswa na enzymes au external activities zinazo insert, delete au change sequences kwenye genome.

SP inahusika na spiritual body ambayo inaweza kuwa weak au strong. Ninaposema weak au strong Nina maana ya namna inavyo jidhihilisha.
Kwahiyo tunaweza kuifanya iweze Kujidhilisha by induction.

Zipo process kadha wa kadha mfano chanting, meditation etc.

NITAENDELEA....
 
P = (R0+C)* SP
Hii formula inatumika kuleta matokea katika maisha yetu ya kila siku.

Maishs yetu ya kila siku yanakuwa affected na energy ambayo inatokana na jua. Kwa hatua hii tunaweza kusema hatuwezi kubadili chochote.

Ndio maana nikasema R0 is constant.
Kuna C ambayo ninesema ni Causality.
Nimejaribu kuongelea genome kwamba imebeba genes zote.
Zipo genes zaidi ya 30,000 kwa binadamu.
Sasa Causality ni activities zote zinazoleta positive au negative results kwenye genome.

Activities hizo zinaweza kusababiswa na enzymes au external activities zinazo insert, delete au change sequences kwenye genome.

SP inahusika na spiritual body ambayo inaweza kuwa weak au strong. Ninaposema weak au strong Nina maana ya namna inavyo jidhihilisha.
Kwahiyo tunaweza kuifanya iweze Kujidhilisha by induction.

Zipo process kadha wa kadha mfano chanting, meditation etc.

NITAENDELEA....
Mkuu ungetulia ukaandika kitu kimoja maana kidogo kidogo unatukata stimu
 
P = (R0+C)* SP
Hii formula inatumika kuleta matokea katika maisha yetu ya kila siku.

Maishs yetu ya kila siku yanakuwa affected na energy ambayo inatokana na jua. Kwa hatua hii tunaweza kusema hatuwezi kubadili chochote.

Ndio maana nikasema R0 is constant.
Kuna C ambayo ninesema ni Causality.
Nimejaribu kuongelea genome kwamba imebeba genes zote.
Zipo genes zaidi ya 30,000 kwa binadamu.
Sasa Causality ni activities zote zinazoleta positive au negative results kwenye genome.

Activities hizo zinaweza kusababiswa na enzymes au external activities zinazo insert, delete au change sequences kwenye genome.

SP inahusika na spiritual body ambayo inaweza kuwa weak au strong. Ninaposema weak au strong Nina maana ya namna inavyo jidhihilisha.
Kwahiyo tunaweza kuifanya iweze Kujidhilisha by induction.

Zipo process kadha wa kadha mfano chanting, meditation etc.

NITAENDELEA....
Leta ndefu ndefu sasa mkuu, uzi ni wa kwako huu wala usiwe na papara
 
nadhani formula hizo zingefanya kazi wew ndio ungekuwa Elon Musk saivi
Mkuu ulimwengu una siri zake, tunamfahamu Elon Musk kwa utajiri na kampuni kubwa zinazoonekana kwa macho unajua nyuma ya pazia ni jitihada zipi anazofanya kukamilisha project zake??

Tofauti na hayo kiuhalisia kuna watu humuhumu kwetu Tanzania wenye uwezo mkubwa na waliojaaliwa vipaji vya ubunifu ila hatuwaoni kwasababu moja kuu NCHI YETU HAINA WATU WENYE UWEZO MZURI KATIKA KUTAMBUA POTENTIAS ZA WATU NA KUWATUMIA IPASAVYO na ndiyo maana baadhi huwa wanaenda kuishi maisha yao mbele ili kutumia vipaji vyao vizuri.

Vijana wana ujuzi wa kutengeneza silaha, na wengine helicopter ila wote wako wapi??

Wanbaki kuongelewa kwenye vyombo vya habari na kupata interviews kazi imeisha.

Mazingira yanayokuzunguka huwa na mchango mkubwa katika kufanikiwa.

Ulimwengu wa kiroho ndiyo kila kitu uanzia, chochote unachokiona kilianzia kwenye ulimwengu wa kiroho (giza au nuru).

Mtoa mada anacho kitu.

Na pia kila mtu anayo siri ya maisha yake ambayo hawezi kukuelezea hata siku moja.

Mfano mzuri huwezi wahoji kampuni ya coca cola kisha ukawauliza formula ya product yao. HAWATOKUAMBIA

Ulimwengu una siri zake.
 
Back
Top Bottom