Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Naanza sasa Virus to Body Integration and Differentiation
Kabla ya kuanza kuelezea formula hii nataka nianze kutoa utangukiza kwanza:-

1. Virus ni viumbe wadogo sana huweze ukawaona kwa macho ya damu na nyama. Virus wamebeba taarifa ndani yao ambayo ni DNA au RNA. Hii elimu ni muhimu sana.

2. Tunatakiwa tujue concept ya Stem Cells kwamba ni Cell ambazo zinaweza kuzalisha cell zingine na zikapata Identification yake.

3. Tunatakiwa kujua Concept ya Body Integration

4. Tunatakiwa kujua Concept ya Bodt Differentiation

5. Inter Universe Travel by Body Identity.

Katika formula hii ya kwanza kutakuwa na mambo hayo matano muhimu tunatakiwa kuyaelewa.
Kwenye hatua ya 5 nitaeleze namna ya kusafiri kwenda sehemu moja.

Kwanza naanza kwa kuwapatia concept hizo.
Wachawi noma sana walikupiga lecture kwa Kiingereza na hawajawahi kusoma [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mkuu mbona unatuambia mambo ya kusadikika
Mkuu mm nishaota kabla ya muda kufika na nimeota Tanzania huenda tukagomea matibabu yote ya kibeberu tukarudi kwenye Asili badala ya kutumia Xrays na ctscan tutagundua miale yake inamadhara makubwa tutatumia Ramli kutizama tatizo .na hapo tutaambiwa kununua dawa za mabeberu ni matumizi mabovu ya fedha miti shamba itakua ndio dawa Rasmi
 
Za mida ndugu zangu.
Naona kuna watu wanaanza kutoa maoni yao. Wengine maenza kusema ninawatisha. Ninashukuru kwakuwa mmoja amejaribu kuleta picha za structure ya Insulin.
Ninauhakika anajua structure but hawezi kufanya manufacturing ya kitu hata kimoja.

Watu wengi wamekariri vitu ukiwaletea elimu nyingine wanakuwa wakari. Watu wanakuwa siyo wavumilivu. Nimejaribu tu kuleta insulin genome mtu mwingine amesoma medical analeta insulin structure.

Hapa nilikuwa naongelea genome. Unajua kuwa kuna project ilifayika miaka zaidi ya 5 wanasayansi wanajaribu kusoma genome ya Human!? Project hiyo ilikamilika mwaka 2003!?

Waligundua kuwa genome ya mtu ipo na sequence more than 3 billion.
Genes zilizotambuliwa ni more than 30,000. Sasa mimi najaribu kurahisisha ili watu wapate basics tuweze kwenda mbele.

NAOMBA TUVUMILIANE TU MIMI NIPO KWAAJILI YA KULETA SOLUTION. USITEGEMEE NITAONGELEA ISSUE YA PESA. TUNAMALIZANA HAPA HAPA.
 
NAENDELEA...

Ninachoomba tuelewane kwanza hiki ninachokifanya ni kuweka msingi wa formula. Je nikiweka formula tu tutaelewa kweli!?

E = Existence
P = Physical experience
R = Realm
S = Source of Nature
SP = Spiritual body
C = Causality
F = Vibration of Void

Katika calculation nitakazozileta nitakuwa natumia hizo letters.
 
Za mida ndugu zangu.
Naona kuna watu wanaanza kutoa maoni yao. Wengine maenza kusema ninawatisha. Ninashukuru kwakuwa mmoja amejaribu kuleta picha za structure ya Insulin.
Ninauhakika anajua structure but hawezi kufanya manufacturing ya kitu hata kimoja.

Watu wengi wamekariri vitu ukiwaletea elimu nyingine wanakuwa wakari. Watu wanakuwa siyo wavumilivu. Nimejaribu tu kuleta insulin genome mtu mwingine amesoma medical analeta insulin structure.

Hapa nilikuwa naongelea genome. Unajua kuwa kuna project ilifayika miaka zaidi ya 5 wanasayansi wanajaribu kusoma genome ya Human!? Project hiyo ilikamilika mwaka 2003!?

Waligundua kuwa genome ya mtu ipo na sequence more than 3 billion.
Genes zilizotambuliwa ni more than 30,000. Sasa mimi najaribu kurahisisha ili watu wapate basics tuweze kwenda mbele.

NAOMBA TUVUMILIANE TU MIMI NIPO KWAAJILI YA KULETA SOLUTION. USITEGEMEE NITAONGELEA ISSUE YA PESA. TUNAMALIZANA HAPA HAPA.
We mumi leta hizo formula acha stori alasivyo nitaharibu uzi..😅
 
NAENDELEA...

Ninachoomba tuelewane kwanza hiki ninachokifanya ni kuweka msingi wa formula. Je nikiweka formula tu tutaelewa kweli!?

E = Existence
P = Physical experience
R = Realm
S = Source of Nature
SP = Spiritual body
C = Causality
F = Vibration of Void

Katika calculation nitakazozileta nitakuwa natumia hizo letters.
Haya tuendelee...
 
Naanza na Physical Experience.
R zipo R0, R1,R2, R3, R4, R5, R6, R7, R8, R9, R10, R11, R12, R13, R14.

P = (R0+C)* SP

Where R0 is constant
Causality the action which affect genome and can be inherited kwa watoto au kizazi chote.

When you act and change genome sequence you caused change to Physical Experience.

SP is the spiritual body which affects the physical existence.

Hii formula ndiyo inayoamua how we leave. Kupata magonjwa, kuwa na akili etc.

Naomba tuanze na hii kwanza.
 
Za mida ndugu zangu.
Naona kuna watu wanaanza kutoa maoni yao. Wengine maenza kusema ninawatisha. Ninashukuru kwakuwa mmoja amejaribu kuleta picha za structure ya Insulin.
Ninauhakika anajua structure but hawezi kufanya manufacturing ya kitu hata kimoja.

Watu wengi wamekariri vitu ukiwaletea elimu nyingine wanakuwa wakari. Watu wanakuwa siyo wavumilivu. Nimejaribu tu kuleta insulin genome mtu mwingine amesoma medical analeta insulin structure.

Hapa nilikuwa naongelea genome. Unajua kuwa kuna project ilifayika miaka zaidi ya 5 wanasayansi wanajaribu kusoma genome ya Human!? Project hiyo ilikamilika mwaka 2003!?

Waligundua kuwa genome ya mtu ipo na sequence more than 3 billion.
Genes zilizotambuliwa ni more than 30,000. Sasa mimi najaribu kurahisisha ili watu wapate basics tuweze kwenda mbele.

NAOMBA TUVUMILIANE TU MIMI NIPO KWAAJILI YA KULETA SOLUTION. USITEGEMEE NITAONGELEA ISSUE YA PESA. TUNAMALIZANA HAPA HAPA.
Ile gnome ya insulin kuna sehemu niliona kwenye research gate , na hainatofauti na uliotuwekea, tuendelee nadhani tuanze na formula ili turudi kufanya proofing
 
nadhani formula hizo zingefanya kazi wew ndio ungekuwa Elon Musk saivi
 
mkuu venus unaongea kitu ambacho si rahisi mtu mwenye akili ya kawaida kuelewa...ww ulikutana na alien..na chombo chao kinaitwa ufo, wana technolojia kali sana na wako mbele yetu mno..chombo chao kinatumia electromagnetic na kinatembea speed sana kinakata kona 90 degree na kinaweza kusimama angani..mm nimekiona juzi angani...wanataka sana kutufundisha ila nadhani hofu yao ni kwamba tunaeza kutumia technologia kumalizana...
Hao alien ndiyo walikwambia chombo chao kinaitwa UFO? UFO ni kifupi cha Unidentified Flying Object yani Chombo kinachoruka ambacho hakitambuliki. Hata mimi nikikaatisha angani na ungo wangu wakati natoka gamboshi mnaweza mkasema mmeona UFO na siyo lazima kiwe na sifa ulizotaja hapo.
 
Mkuu unaniondoa kwenye reli. Yeye mwenyewe hajatupia hata kapicha. Hajui hata mars inaonekanaje. Ni ndoto yake tu.
Anapiga pesa za wamarekani
Sasa wewe si zaidi yake mkuu, ndiyo maana ninakuaminia nikakuomba hata kapicha. Do black holes really exisist? Je black matter mkuu vipi?
 
Back
Top Bottom