Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Wakuu salama! Mungu wetu mwema napenda kutoa stori yangu kuhusu jinsi nilivyopoteza pesa kwa kuahidiwa utajiri
Ilikuwa mwaka 2002 kipindi hicho nikiwa under 18 ilikuwa siku ya Jumapili basi Kama kawaida ya familia yetu tuna utamaduni wa kwenda kuabudu tulijiandaa mapema tayari kabsa kwa kwenda kanisani kwani kanisa halikuwa mbali Sana hvyo ilikuwa rahisi tu kwenda kanisani.
Niliamua kutembea kwenda kanisani nikiwa na rafiki yangu jina Zacharia bas tukiwa njiani karibu kufika kanisani tukaona watu wamekusanyika nikamwambia rafiki yangu Zacharia hebu tupite tuone hapo Kuna nini tulipofika pale tuliwakuta jamaa Kama watatu na mwanamke mmoja wanawaelezea watu kuhusu maswala ya kutaka kufanikiwa kwamba wao wanagawa utajiri kwa mtu yeyote aliyepo tayari basi kidume kimoyo moyo nikasema uwiii leo naboa nakwa kuwa akili na zenyewe zilikuwa za sungura nikawa Makin kusikiliza bas jamaa akauliza walio tayari kupokea utajiri wapite mbele ili wapewe dawa ili wapelekwe mahali bas kidume nikajitosa huku Zacharia akinizuia mimi nikamwambia nataka kuwa kama bakhesa.
BasI nikapewa dawa kwenye kiganja pamoja na wenzangu wasiopungua 50 hvi tukawekewa dawa kwenye kiganja na wale jamaa wanaojiita waganga kwa ajili yakuondoa umasikin baadaye wakatuambia bas saiv tunaenda tulipofika ili mkapewe masharti yakutumia hzo dawa kwa kila mtu kulingana na nyota yake ilivyo na wakatutahadhalisha hzo dawa Tulizopewa kwenye kiganja hutakiwi kizimwaga na ukizimwaga unakuwa kichaa bas jamaa wakatuongoza Hadi Gest walipofikia na wote tukaingia Kwan ndani ya nyumba hyo ya Gest kulikuwa na uwani mkubwa tu hvyo tulitosha wote tuliopewa dawa hizo.
Bas baada yakufika pale walipofikia tukaambiwa kuvua masharti na hapo wale jamaa wakawa wakali nikajisemea kimoyomoyo mmh maji ukiyavulia nguo shariti uyaoge bas wote tukatoa mashart nakuelekezwa kwamba hakuna kupiga kelele Wala kuongea chochote na tukawa tumepangwa mstari mmoja nakuambiwa tutakuwa tunaingia ndani mmoja mmoja ili ukapewe masharti yako ya Siri kwa ajili ya utajiri Kumbuka hapo tulikuwa watu wengi watu wazima na watoto.
Mmoja wa wale jamaa akatuambia ukiingia ndani baada yakusomewa masharti ukitoka nje tutamke neno hili ASANTE DOKTA na ukitamka hakikisha unatoa sauti Hadi wenzako ambao wapo kwenye foleni wanasikia! Na wale jamaa ukiwaangalia wapo smart Sana! Kimoyomoyo nikasema siwez kushindwa kutamka Hilo neno.
Bas zam ikaanza akaingia mtu wa kwanza mtu mzima mmoja akakaa Kama dakika tano hivi baadaye akatoka akatamka Hilo neno kwa sauti ASANTE DOKTA )ya furaha bas kidume nikajisemea kimomoyo jamaa kashatoboa hyo.foleni ikaenda Hadi mm nikafikiwa aise niliingia mle ndani na tambasam la kufa mtu.
Ile naingia tu nikasikia sauti inaniuliza Nan wewe bas nikajikakamua nikataja jina.
Swali lilofuata toa kila kitu ulichonacho ubaki na nguo tu tunapokusomea mashart ya dawa zetu mm nikajibu Sina kitu aiseeee wakati naongea hvyo nyuma yangu kulikuwa na mmoja wa hao jamaa akanitia banzi nakwasauti ya ukali inamaana wewe huna chochote ...kwa uoga nikamjibu Nina hela ya sadaka tu akasema mbwa wewe inamaana ukiambiwa toa kila kitu ulichonacho huwa unaelewaje bas kidume kwa uoga huku mkojo unataka kunitoka nikaitoa hyo sh Mia pamoja na saa!
Baadaye nikafungashiwa dawa za mitishamba namasharti nakumbka moja ya sharti Ni kutokuiangalia dawa hyo mpka nikifika nyumbn niiweke kwenye begi nanitaiangalia kesho yake na tayar zitakuwa pesa nanihskikishe naenda kuiweka kwenye begi au mfuko kwani Kama nitaweka kwenye begi bas begi hilo kesho yake asubhi litakuwa limejaa pesa.mm nikasema sitoweka kwenye begi nitaweka kwenye mfuko mikubwa hii yakunzia nafaka ili ziwe pesa nyingi
Itaendelea...
Ilikuwa mwaka 2002 kipindi hicho nikiwa under 18 ilikuwa siku ya Jumapili basi Kama kawaida ya familia yetu tuna utamaduni wa kwenda kuabudu tulijiandaa mapema tayari kabsa kwa kwenda kanisani kwani kanisa halikuwa mbali Sana hvyo ilikuwa rahisi tu kwenda kanisani.
Niliamua kutembea kwenda kanisani nikiwa na rafiki yangu jina Zacharia bas tukiwa njiani karibu kufika kanisani tukaona watu wamekusanyika nikamwambia rafiki yangu Zacharia hebu tupite tuone hapo Kuna nini tulipofika pale tuliwakuta jamaa Kama watatu na mwanamke mmoja wanawaelezea watu kuhusu maswala ya kutaka kufanikiwa kwamba wao wanagawa utajiri kwa mtu yeyote aliyepo tayari basi kidume kimoyo moyo nikasema uwiii leo naboa nakwa kuwa akili na zenyewe zilikuwa za sungura nikawa Makin kusikiliza bas jamaa akauliza walio tayari kupokea utajiri wapite mbele ili wapewe dawa ili wapelekwe mahali bas kidume nikajitosa huku Zacharia akinizuia mimi nikamwambia nataka kuwa kama bakhesa.
BasI nikapewa dawa kwenye kiganja pamoja na wenzangu wasiopungua 50 hvi tukawekewa dawa kwenye kiganja na wale jamaa wanaojiita waganga kwa ajili yakuondoa umasikin baadaye wakatuambia bas saiv tunaenda tulipofika ili mkapewe masharti yakutumia hzo dawa kwa kila mtu kulingana na nyota yake ilivyo na wakatutahadhalisha hzo dawa Tulizopewa kwenye kiganja hutakiwi kizimwaga na ukizimwaga unakuwa kichaa bas jamaa wakatuongoza Hadi Gest walipofikia na wote tukaingia Kwan ndani ya nyumba hyo ya Gest kulikuwa na uwani mkubwa tu hvyo tulitosha wote tuliopewa dawa hizo.
Bas baada yakufika pale walipofikia tukaambiwa kuvua masharti na hapo wale jamaa wakawa wakali nikajisemea kimoyomoyo mmh maji ukiyavulia nguo shariti uyaoge bas wote tukatoa mashart nakuelekezwa kwamba hakuna kupiga kelele Wala kuongea chochote na tukawa tumepangwa mstari mmoja nakuambiwa tutakuwa tunaingia ndani mmoja mmoja ili ukapewe masharti yako ya Siri kwa ajili ya utajiri Kumbuka hapo tulikuwa watu wengi watu wazima na watoto.
Mmoja wa wale jamaa akatuambia ukiingia ndani baada yakusomewa masharti ukitoka nje tutamke neno hili ASANTE DOKTA na ukitamka hakikisha unatoa sauti Hadi wenzako ambao wapo kwenye foleni wanasikia! Na wale jamaa ukiwaangalia wapo smart Sana! Kimoyomoyo nikasema siwez kushindwa kutamka Hilo neno.
Bas zam ikaanza akaingia mtu wa kwanza mtu mzima mmoja akakaa Kama dakika tano hivi baadaye akatoka akatamka Hilo neno kwa sauti ASANTE DOKTA )ya furaha bas kidume nikajisemea kimomoyo jamaa kashatoboa hyo.foleni ikaenda Hadi mm nikafikiwa aise niliingia mle ndani na tambasam la kufa mtu.
Ile naingia tu nikasikia sauti inaniuliza Nan wewe bas nikajikakamua nikataja jina.
Swali lilofuata toa kila kitu ulichonacho ubaki na nguo tu tunapokusomea mashart ya dawa zetu mm nikajibu Sina kitu aiseeee wakati naongea hvyo nyuma yangu kulikuwa na mmoja wa hao jamaa akanitia banzi nakwasauti ya ukali inamaana wewe huna chochote ...kwa uoga nikamjibu Nina hela ya sadaka tu akasema mbwa wewe inamaana ukiambiwa toa kila kitu ulichonacho huwa unaelewaje bas kidume kwa uoga huku mkojo unataka kunitoka nikaitoa hyo sh Mia pamoja na saa!
Baadaye nikafungashiwa dawa za mitishamba namasharti nakumbka moja ya sharti Ni kutokuiangalia dawa hyo mpka nikifika nyumbn niiweke kwenye begi nanitaiangalia kesho yake na tayar zitakuwa pesa nanihskikishe naenda kuiweka kwenye begi au mfuko kwani Kama nitaweka kwenye begi bas begi hilo kesho yake asubhi litakuwa limejaa pesa.mm nikasema sitoweka kwenye begi nitaweka kwenye mfuko mikubwa hii yakunzia nafaka ili ziwe pesa nyingi
Itaendelea...