Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Kutokana na usumbufu wa tunaopitia sisi abiria iwe vituo vya daladala au vya mabas ya mikoani hasa swala la nauli kupanda kiholela tungeomba afisa mmoja wa latra awepo kwenye kila kituo ili kutatua tatizo la upandishaj wa nauli tofaut na kiwango kilichowekwa na mamlaka hyo.
Sio kila Jambo mpaka Rais awaseme au awaambie mpo kwa ajil ya usafir wa nch kavu bas wajibiken sehemu hizo na sio ofisini.
Sio kila Jambo mpaka Rais awaseme au awaambie mpo kwa ajil ya usafir wa nch kavu bas wajibiken sehemu hizo na sio ofisini.