Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 711
- 6,187
Habari humu!
Nimeambiwa miongozo ya kupata UTAJIRI wa giza ni hii ifuatayo
1.Si kila mganga ana uwezo wa kutoa utajiri
2. Kuna mitihani na masharti kabla ya kupewa utajiri. Kila mtu ana mitihani yake na masharti yake
3. Si kila mtu anaweza kupewa utajiri
4. Utajiri wa kishetani ni siri kwahiyo ili kuupata lazima upelekwe na mtu aliyejiunga na utajiri huo au mganga mpaka akujue na akupe mitihani kwanza aone kama unania ili akuunganishe kwenye mfumo wa utajiri.
5. Kwa vile utajiri wa kishetani ni siri hata waganga wanaotoa huo utajiri siyo rahisi kuwapata
Sasa watu wote humu ukiacha walokole na motiveshno speakers, kama unaielewa hii miongozo haswa namba 4 basi tusaidizane connection.
Nimeambiwa miongozo ya kupata UTAJIRI wa giza ni hii ifuatayo
1.Si kila mganga ana uwezo wa kutoa utajiri
2. Kuna mitihani na masharti kabla ya kupewa utajiri. Kila mtu ana mitihani yake na masharti yake
3. Si kila mtu anaweza kupewa utajiri
4. Utajiri wa kishetani ni siri kwahiyo ili kuupata lazima upelekwe na mtu aliyejiunga na utajiri huo au mganga mpaka akujue na akupe mitihani kwanza aone kama unania ili akuunganishe kwenye mfumo wa utajiri.
5. Kwa vile utajiri wa kishetani ni siri hata waganga wanaotoa huo utajiri siyo rahisi kuwapata
Sasa watu wote humu ukiacha walokole na motiveshno speakers, kama unaielewa hii miongozo haswa namba 4 basi tusaidizane connection.