Jinsi MBS anavyoipaisha Saudia kiuchumi nje ya Mafuta

hongera zao, Tony Blair ameishauri pia Rwanda na tunaona matunda yake. hata kama ni mmagaribi au alimwaga damu, nafikiri mama akimpokea na kusikiliza ushauri wake kwa faida yetu itaweza kutusaidia. hao pia ndio wanaoshawishi makampuni makubwa yaje kuwekeza hapa kwetu. ushauri mzuri tuuchukue toka kwao, ule mbaya kama ule wa cameron tuwaachie wenyewe.
 

Bora hata aseme wananunua toka somalia
Mbuzi na Ngamia

Qatar wameweza kwa gharama kubwa sana baada ya kuwekewa vikwazo na hao Saudia na
Ni kweli mkuu toka zamani Ng'ombe wanaleta Saudia kutoka Sudan na Eritrea na Ethiopia. Mbuzi na kondoo wanaleta kutoka Somalia na jirani Jordan. Mbuzi na kondoo wengi wa hijaa au iddi ni kutoka Somalia na Jordan.
 
Uzi upo kimihemko sana,
ingekua unayemsifia Ni wa hapa bongo ningekufananisha na wale wa mitano tena!
 
Umesema alipochukua madaraka..as if ni King tayari...King ni Baba yake..
Na kwa utamaduni wa Saudia Arabia yeye hapaswi kuwa next in line..
Halafu familia ina ma prince zaidi ya elfu nne..
Imagine that

Crown prince ni kama Makamu wa Rais mkuu,, madaraka anayo ila subject to powers of King ana na Mfalme ndo mwenye last say na ku"overturn" every decision pia
 
Kusema kweli la Khashogi lilimpunguzia kasi. Ila sasa hivi amekua. Kwa upande mwengine kutawala Saudi Arabia inatakiwa uwe katili ili nchi iwe salama na ndio hilo bwana mdogo a alifanya. Na anaipaisha Saudi Arabia kwa kasi ya Rocket.

Hapo nakubaliana na wewe, unahitajika ukatili sana kutawala hizo nchi kuelekea kwenye maendeleo, na nchi nyingi za kiarabu zinahitaji ukatili kutawaliwa.... Africa nayo inahitaji ukatili ili ipate maendeleo, bado hao na sisi hatujafikia kuishi kwenye demokrasia ya mzungu..
 
USA aka cow boys wahuni sana, Kashoghi kafa kama kuku jamaa wamekausha tu kwakuwa wanamrija pale wananyonya tu....USA anafanya biashara kubwa sana na Saudia na anaingiza hela nyingi sana pale kuanzia jeshini mpaka uraiani na kwenye mafuta...Pale Saudi Aramco USA ana hisa zake na operation karibia yote ni ya kwake...fleet yote ya ndege za Kivita za Saudia ni kutoka USA + silaha nyingine za kisasa...

Kifupi watu wa mashariki ya kati wana option mbili, uwe USA allies uishi kwa amani na raha au uwe adui uishi kwa taabu na mahangaiko.... GCC yote wamechagua kuwa allies wale bata...
 
Ngamia wanao wengi sana. Ila mbuzi kondoo wanatoa Jordan na Somalia. Ng'ombe wanatoa Sudan, Eritrea na Ethiopia

Mkuu mimi nalijua hili kuwa hata hao ngamia wao ni ghali sana kwa hiyo wanaamua ku import wengi toka Africa

Kuna wakati walileta kutoka Australia lakini kwa kuwa Ngamia wa Australia ni wild wanashindwa kuila

Ila Somalia nawajua wanapeleka ngamia Uarabuni na hata Malaysia wanapeleka
 
Back
Top Bottom