kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,560
- 5,164
Tatzo vijana wengi mmeshikiwa akili, akishasema Lissu basi nyie mnadhani ni sawa, Lissu anatumia Article 18 ya katiba inayotoa right of Association, anatumia pia sheria ya vyama vya siasa ambayo imefafanua haki inayozungumziwa chini ya kifungu cha 18 cha katiba.Hii thread itakuwa imeandikwa na mtu ambaye ubongo wake upo tumboni. Ukiwa na akili timamu ya nn ujitoeufahamu kwa jambo ambalo lipowazi. cdm wanaandamana kwa kutumia vifungu vya sheria lkn ninyi mnapinga kwa kutumia nguvu za dola mlizonazo .
Hivyo sheria ya vyama vya siasa unapata uhali kutoka kwenye katiba, which means, sheria ya vyama vya siasa is applicable subject to the constitution ambayo ndo sheria mama from which all other laws derives their legitimacy!
Sasa mtoa maada ameainisha Article 30 ambayo imelay down limitations on the enjoyment of the basic rights under part3 including Article 18.
Article 30 inatueleza the rights provided under the same same constitution are not absolute, they are subject to limitations, they can be taken away in some circumstances, one of those circumstances and which is very complicated one is the issue of public interest.
Wanasiasa wanatumia ujinga wenu wa kutikuijua katiba kuwaaeleza mna haki, lkn hawawaambii kuwa haki hizo zinaenda na wajibu na pia zina miaka take!