nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
angalau kwa kuweka vifungu hivi vya katiba na sheria mtoa mada umepanua mjadala na uwe fikirishi. naomba wataalamu wa sheria waje hapa kutufafanulia vifungu hivi. kama hujui sheria na tafsiri zake kaa pembeni. ushabiki wa vyama wekeni pembeni kwanza....