Jinsi gani ya kufukuza paka nyumbani?

Jinsi gani ya kufukuza paka nyumbani?

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Wadau naomba msaada,

Njia gani rahisi ya kufukuza paka ktk nyumba ninayoishi. Nilikuwa na paka mmoja jike sasa amezaa watoto wawili wa kiume ila tangu wakiwa wadogo hawakamatiki kwani ukitaka kuwakamata wanakimbilia kwenye nyumba ya jirani isiyoishi watu then baadae wanarudi. Kwa kweli wamekuwa kero sana, wadokozi kupita maelezo.

Nini kifanyike kuwafukuza au ntapata wapi mtego wa kuwakamata?
 
Daah sumu sijui coz paka huwa wakila sumu wanajitapisha ngoja tujaribu ikishindikana ni gobore tu.Asante mdau.
 
...,Kama swala ni kuwafukaza tu bac ucwahesabu ktk ratba yako chakula na jtahd kuweka vpolo vyote sehemu salama, yaani uwafanyie Ukauzu zaid ya dagaa had wakckia saut yako 2 wanatoka nduki.., ni siku 7 tu wanahama.., Ila kama ni kuwauwa bac chukua the best soln ya Mdau hapo juu!!
 
Nilikuwa nao nyumbani nilipoona hatusomani nikawapa tenda vijana wakawatafuta kuwakamata na kuwapakia kwenye bodaboda na kwenda kuwaacha mbali SIJAWAONA hadi leo hii.
Ipo siku watarudi tu, huwa hawapotei nyumba hao labda kama waliwaua.
 
Ipo siku watarudi tu, huwa hawapotei nyumba hao labda kama waliwaua.

Nachozungumza nimekifanya mimi mwenyewe (sijasimuliwa) na ni zaidi ya miaka miwili imepita. La msingi atafute vijana awape kazi wasipomfanyia usanii na wakawatupa mbali hawatarudi.
 
...,Kama swala ni kuwafukaza tu bac ucwahesabu ktk ratba yako chakula na jtahd kuweka vpolo vyote sehemu salama, yaani uwafanyie Ukauzu zaid ya dagaa had wakckia saut yako 2 wanatoka nduki.., ni siku 7 tu wanahama.., Ila kama ni kuwauwa bac chukua the best soln ya Mdau hapo juu!!

Hii sio njia nzuri ya kufukuza paka. Ukifanya hivi ni kweli paka ataondoka ila jiandae kwa mashambuliz ya hatari ya kushtukiza watakayofanya toka huko mafichoni kwao. Kifupi paka aliyeachwa kwa staili hii anakuwa hatari sana anajua hatakiwi. kumbuka paka ni mnyama mwenye utambuz sn
 
chukua majivu mengi sanaaa wavizie na kuwamwagia mwili wote basi unakuwa umewapoteza jumla hawatarudi tenaaa, au wakamate funga kwenye mfuko usio na kuakisi au kuona nje kama upo mbagala wapeleke tegeta ukifika fungua mfuko ukiwa unakwenda watupe basi kwisha habar akikisha wakat unawasafirisha wasione nje.
 
Nyie mbona hivyo! inaonesha wazi kuwa nyie ni watu makatili ,unamfuga paka jike ,anakuletea wajukuu unataka kuwaua?ilitakiwa toka mwanzo umfunge uzazi huyo binti paka wako hayo yasingetokea.

Kitu kingine paka tofauti na mbwa paka hana utii,yeye ni upendo na urafiki,ukimchukia nae hurudisha chuki na kuhusu suala la 'wizi ' nitakuambia kitu -wanyama jamii ya paka huwa hawapotezi hulka yao ya unyama pori tofauti na mbwa,paka ukimpa chakula hata ashibe bado ataendelea kukamata panya ,mijusi ,mende ndege na kuokoteza kwenye mabakuli 'wizi'.huwezi kumweka na njaa paka atakuomba usipompa anchukua mwenyewe .

Paka anapoishi nawewe anaishi kwa terms of equal partners no body is a boss(actual the cat is the boss) unaweza ukamwita na asije atakuja when he feels like to be petted .

Kwa kumalizia usmuue mkere tu ,we kila ukimwona mwagie maji mloweshe hasa ,tena ukimpata usiku ndio bomba ,make sure hawapati msosi na ukishindwa hayo mkamate mpeleke kwa VET.

Do not kill an animal because you can't take of it,hate it or just a whim!
My family consist of me,wife 2 daughters , 3cats ,1 tortoise ,2pair of gold fishes,2 dozen guppies fish , a chameleon and a pair of parakeet.perfect jungle perfect paradise is my house !
 
Sikuwa na Mpango wa Ku-Comment, Ila Client3 Amenifanya nicheke Mwenyewe kama Mwehu huku Nnasoma Comment yake. Kasema hiviiii

"Huko mnakowapeleka si wataenda kuwasumbua wengineeeeee"?

Infact Mzee wangu Mdogo aliwahi kuwa naye Paka Nyumbani kwake. Siku Moja akadokoa Kitowea Chote cha Samaki baada ya kusahau kufunga vzuri Kabati.

Alichokifanya, wala hakuonyesha huzuni yake Machoni pa yule Paka. Akajifanya kama vile kile kitoweo alikinunua kwa ajili yake(PAKA).Maisha yakaendelea, Wakaaendelea kupishana kama kawa kwenye Korido bila Paka kujua kuwa alikuwa akifanyiwa Timming ya kumpele Ahera.

Baada ya wk mbili kuptia tokea Paka aharibu nyumbani,siku moja Mzee akawa amerudi kwenye Matembezi yake akamkuta Paka amelala kiubavu bila wasi wasi kwa Mikogo kama Wapendavyo kulala Wanyama wa Jamii yake kama Simba/Cheetah/Puma/Chui na Wengineo. Hapo tena anajijua kuwa yuko Nyumbani wala hakuhitaji kuwa na Wasiwasi wowote.

Mzee wangu Mdogo alichokifanya, aliingia Ndani akachukua "MANATI" heavy duty yenye uwezo wa kupasua Tairi za Pikipiki au tairi za gari Ambazo zishafikia hali ya kuwa kipara.

Huku Paka akiwa bado amelala mchana kweupeee, Mzee wangu aliiweka Standby ile Silaha(MANATI) aliyowahi kuitumuia DAUDI dhidi ya GOLIATH. Akaivuta hadi kwenye highest Degree. Aliachia kwenye PAJI la uso wa Paka. In-a-Snatch of a Finger, vumbi lilitimka na kushindwa kuelewa yule Paka ali(tokomeaje/towekaje) Mahala pale. Alipoenda kuokota lile Jiwe, lilikuwa limeshikamana na Kipande cha Ngozi iliyotoka kwenye Panda la uso wa Paka.

Tokea Siku ile hakupata kumuona tena pale nyumbani kwake. Kwanza hata hivyo anasadiki kuwa haikumchukua round bila kufa kwa Ambush aliyo Mpatia.

Yeye mwenyewe anakiri kuwa angelibahatika kufanya VIDEO wakati tendo hilo linatokea, na ikaonekana kwa watu watetezi wa wanyama! Basi angekuwa hatiani kwa kitendo alichokifanya. Alikiri kuwa hatojampatia tena Mnyama yoyote adhabu kama hiyo kamwe.
 
mkuu dawa ya kufukuza paka ni rahisi.weka maganda ya machungwa wanapopenda kukaa.fanya zoezi hilo kwa siku mbili au tatu mfululizo.Amini hutawaona tena kwani harufu yake inawachefua sana
 
Kaka kumdhibiti paka ni rahiiiisi mno. nunua samaki kula nyama bakiza kichwa. pitia duka la dawa nunua vidonge vya usingizi. viponde kama dozi tano hv. changanya na kichwa cha samaki. viache kihasara hasara ajueamewini halafu kalale. asbh utamkuta amelala mwachenenda kazini jioni bado utamkuta usingizini. mtie kwenye box fungavizuri na waya kisha kamtelekeze njia panda iendayo kwa ajuza wa mtaani kwenu.
 
Nyie mbona hivyo! inaonesha wazi kuwa nyie ni watu makatili ,unamfuga paka jike ,anakuletea wajukuu unataka kuwaua?ilitakiwa toka mwanzo umfunge uzazi huyo binti paka wako hayo yasingetokea.
Kitu kingine paka tofauti na mbwa paka hana utii,yeye ni upendo na urafiki,ukimchukia nae hurudisha chuki na kuhusu suala la 'wizi ' nitakuambia kitu -wanyama jamii ya paka huwa hawapotezi hulka yao ya unyama pori tofauti na mbwa,paka ukimpa chakula hata ashibe bado ataendelea kukamata panya ,mijusi ,mende ndege na kuokoteza kwenye mabakuli 'wizi'.huwezi kumweka na njaa paka atakuomba usipompa anchukua mwenyewe .
Paka anapoishi nawewe anaishi kwa terms of equal partners no body is a boss(actual the cat is the boss) unaweza ukamwita na asije atakuja when he feels like to be petted .
Kwa kumalizia usmuue mkere tu ,we kila ukimwona mwagie maji mloweshe hasa ,tena ukimpata usiku ndio bomba ,make sure hawapati msosi na ukishindwa hayo mkamate mpeleke kwa VET.
Do not kill an animal because you can't take of it,hate it or just a whim!
My family consist of me,wife 2 daughters , 3cats ,1 tortoise ,2pair of gold fishes,2 dozen guppies fish , a chameleon and a pair of parakeet.perfect jungle perfect paradise is my house !
Sending blessings your way.
 
Back
Top Bottom