Chipsi Kavu
Member
- Nov 28, 2017
- 26
- 14
jenga banda kama inavyoonekana kwenye picha, kuta zmejengwa kwa wire mesh nje na ndan alaf unaweka vipande vya mkaa katikati, humo utahifadhi mboga, matunda na vinywaji kwenye hali ya ubaridi
Nb: mkaa unatakiwa umwagiliwe maji asubuh, mchana na jion.
Sent using Jamii Forums mobile app