Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,022
Ndiyo amemnasa?
Kundi la waalimu limejaa watu wajinga sn sijui ni kwanini?
Good morning walimu naona sasa watumishi mnaenda kuwachomoa hawa mbwa wamekula boom la mdogo wangu
Mwenye ilani ya uchaguzi 2020 ya CCM aiweke humu, kwa rejea zaidi.Kwahiyo ameona aimarishe biashara ya mtandao kama ilani ya CCM inavosema kweli huyo mwapombe kiboko.
Yani kila siku watu hawajifunzi. Mimi nilidhani tukio la Billionea wa mahindi Songea litakuwa la mwisho. Yani kila mmoja kamkabidhi jamaa milion 3 hivi hivi.Wajinga ndio waliwao
Bado hawaishi wavivu wa kufikiri, tunapenda shortcut sanaYani kila siku watu hawajifunzi. Mimi nilidhani tukio la Billionea wa mahindi Songea litakuwa la mwisho. Yani kila mmoja kamkabidhi jamaa milion 3 hivi hivi.
#HABARI Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole sabaya, ameagiza kukamatwa kwa mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni wakala wa kampuni ya biashara ya Q-Net, baada ya kuwatapeli wananchi wakiwemo walimu ambao kila mmoja aliingiza zaidi ya Mil.3, kwenye kampuni hiyo kama kiingilio, na kwamba ashikiliwe mpaka mtandao mzima upatikane na fedha kurudishwa.
Kuna video inaonyesha jamaa wa Q-net anababaika tu kwa maelezo, DC akatamka police waondoke nae,
Hii kitu imeliza wengi sanaView attachment 1647415