cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 233
- 608
Najaribu kumbembeleza kipenz cha wadada INSIDER MAN lakin mgumu kama ninicacutee mwambie Insider Boy atubless weekend episode
Najaribu kumbembeleza kipenz cha wadada INSIDER MAN lakin mgumu kama ninicacutee mwambie Insider Boy atubless weekend episode
😂😂Wagogo na Wanyamwezi ni wazaramo wa bara. Hizo ndio tabia za INSIDER MAN hawezi leta uzi pasipo majidai 🤔
Hata kwako?Najaribu kumbembeleza kipenz cha wadada INSIDER MAN lakin mgumu kama nini
Acha tu@rala
Hata kwako?
Atakuwa hana uhakika kama hiyo avatar ni ya kwako angekusikilizaAcha tu
😂😂😂Atakuwa hana uhakika kama hiyo avatar ni ya kwako angekusikiliza
Insider anavosimulia ni kama anamfananisha uyo iryn sawa na malaikaHuyu ndiye Iryn INSIDER, aka Mama Kijacho!View attachment 2980805
Kama kwa maelezo ya INSIDER MAN huyu ndio umemuona anafanana na Iryn, mwanangu una taste mbovu sana ya wanawake.Huyu ndiye Iryn INSIDER, aka Mama Kijacho!View attachment 2980805
Sio wewe huyu?Huyu ndiye Iryn INSIDER, aka Mama Kijacho!View attachment 2980805
/Mimi Nampa big up Sana insider kwa maana na kwa jinsi anavyolicheza game Yuko makini Sana, mistake ni ndogo ndogo Sana na pia ni zakibinadamu, kwa namna Insider anaweza Ku handle hizo harakati na awo Wadada jamaa anajitahidi Sana,Bora ukomae na Boss lady anayejitambua iryne...siyo wakina Asmah, lkn wakijichanganya kula vitu baharia...hizo ndo kazi za vidume
wanaume tumeumbwa ''mateso'' hivyo hiyo mbingu itafikiwa bila kujali umbali.Insider ana tabia kama za ex wangu. Huyu ex ni so addictive... Ni ngumu kumuacha kimoja..
Hata kama ametoka kucheat ukim tait anakuwa mpoleee anakupeti nankukujaza na kukataa kata kata had unaamini hajafanya..
Wanawake washataka kupigana visu sababu yake.
Mbingu ya wanaume kama hawa iko mbali.
cacutee, huyo sasa ndo mwamba mwenyewe. Hadi inabidi tu upashe kiporo maana HAIWZEKANI.Insider ana tabia kama za ex wangu. Huyu ex ni so addictive... Ni ngumu kumuacha kimoja..
Hata kama ametoka kucheat ukim tait anakuwa mpoleee anakupeti nankukujaza na kukataa kata kata had unaamini hajafanya..
Wanawake washataka kupigana visu sababu yake.
Mbingu ya wanaume kama hawa iko mbali.
🥰🥰🥰🥰
Yeah kinapashwa kwakweli. Nimemwambia siwezi kabisa kujizuia.cacutee, huyo sasa ndo mwamba mwenyewe. Hadi inabidi tu upashe kiporo maana HAIWZEKANI.
Insider Man umeamua kutushika na story hii na sisi tumeshikika. Sasa mbona unaleta sanaa? Nilijua mwamba umetupia kumbe uko cacutee 🤣
Jamani cacutee, yaani ukiisikia sauti yake kwa foni wee umelowaaaa🤣🤣🤣🤣🤣Yeah kinapashwa kwakweli. Nimemwambia siwezi kabisa kujizuia.
Uuh lips zake ukizibusu unakula mate Yan Kama unanyonya pipi
Huhh that ex is sweet oh
Apo apo mwamba kamatia .....