Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

WE MPUMBAVU HII STORY SIO YA MIAKA MIWILI UNAONA UPUMBAVU WAKO? UNAL
ETA UKOSOAJI WAKIJINGA NA MWANAUME UNAWEKA EMOJI ZA KUCHEKA CHEKA KWENYE STORY YA MWANAUME MWENZIO RIJALI KABISA KATUMIA MUDA WAKE NA MISULI KUIANDIKA UNALETA KUCHEKA CHEKA KA MPUMBAVU. ACHANA NAYO KAMA NI CHAI MBONA UMEKAZA MAKALIO KUIFUATILIA UKIJUA NI CHAI? ANAKUKERA HATA UKIKEREKA YE INAMSAIDIA NINI? NA UNAJIPINDA KUANDIKA GAZETI KABISA KUMPONDA MWANANUME PUMBAVU KABISA. MWANAUME RIJALI UNATUMIA EMOJI ZA KUKENUA MENO MBELE YA WANAUME WENZAKO ACHA HIZO MAMBO AISEE

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe mpe vidonge vyake huyu!!
 
Sijasema Kijana apite nao wala nn, hayo ni MAONI YANGU na yatabaki hivyo...

Chamsingi, wewe pamoja na hao VIJANA wenzako endeleeni kuruka ruka na huyu na yule(kama muandishi) ila MUDA NI MWALIMU MZURI.

Kinachosumbua rika vijana wanadhani kuvua vua chup* ndio URIJALI but trust me ni USHAMBA kama USHAMBA mwingine and I can prove with facts.
Nani akutrust wewe? Hakuna aliesema kuruka ruka na wanawake ni ujanja. Hivi unafikiri watu humu hawajielewi kabisa? Kwamba wenyewe kazi yao kweli ni kuruka ruka na wanawake?. Umeingia mkenge Hata mwandishi hakuna anaporuka ruka na wanawake,sijaona. Yaani tu-wanawake tu3,4 huto tayari unaona anaruka ruka nao?. Wewe uko dunia ya wapi?. Isitoshe haya mambo yalikuwepo tangu enzi na enzi kuja kuyatengue wewe leo. Sawa MAONI YAKO tutayazingatia.
 
IMG_3468.jpg

Insider nakuona nakuona
 
Nani akutrust wewe? Hakuna aliesema kuruka ruka na wanawake ni ujanja. Hivi unafikiri watu humu hawajielewi kabisa? Kwamba wenyewe kazi yao kweli ni kuruka ruka na wanawake?. Umeingia mkenge Hata mwandishi hakuna anaporuka ruka na wanawake,sijaona. Yaani tu-wanawake tu3,4 huto tayari unaona anaruka ruka nao?. Wewe uko dunia ya wapi?. Isitoshe haya mambo yalikuwepo tangu enzi na enzi kuja kuyatengue wewe leo. Sawa MAONI YAKO tutayazingatia.
Nimejaribu ku-review umeijua lini JF nimegundua kumbe ni 2022. Fyi nimeingia humu ndani ya JF 2011 sijui ulikuwa wapi so ni uamuzi wako KU-TRUST au KUTO-TRUST, na by the way NINAJUA beyond no shadow of doubt kuwa humu ndani kuna wengi WANAOJIELEWA na wapuuzi wachache mfano mmoja wapo unaweza kuwemo.

So, endelea kuruka ruka maana naona hata comment yako inajikanganya kuhusu maana halisi ya kuruka ruka.

Ushauri, endelea kula ujana maisha yenyewe mafupi.
 
Ndugu yangu unavimba kichwa sana na huyo irin, Dodoma kuna pisi zinatoka babati aloo, shombe shombe za Tabora kibao.kwakweli umesema uwongo. Hiyo ni uongoo..
No king'amuzi,mlio wa kilugha kama upo kwa mganga,...
 
Ndugu yangu unavimba kichwa sana na huyo irin, Dodoma kuna pisi zinatoka babati aloo, shombe shombe za Tabora kibao.kwakweli umesema uwongo. Hiyo ni uongoo..
Tatizo sio pisi kali tatizo ni ujazo wa pisi ...pisi inamiliki nini...hizo zako zinazo miliki matako na smart phone na kupiga hadi mizinga ya pedi kaa nazo na ingekua ni pisi ya hivyo watu tusinge ielewa
 
Nimejaribu ku-review umeijua lini JF nimegundua kumbe ni 2022. Fyi nimeingia humu ndani ya JF 2011 sijui ulikuwa wapi so ni uamuzi wako KU-TRUST au KUTO-TRUST, na by the way NINAJUA beyond no shadow of doubt kuwa humu ndani kuna wengi WANAOJIELEWA na wapuuzi wachache mfano mmoja wapo unaweza kuwemo.

So, endelea kuruka ruka maana naona hata comment yako inajikanganya kuhusu maana halisi ya kuruka ruka.

Ushauri, endelea kula ujana maisha yenyewe mafupi.
Kama basi kigezo cha mtu kutokukosea ni muda wa kujiunga jf basi ndio ile theory ya mkubwa hakosei.

Sawa amejiunga 2022 so what?
Asikurekebishe hata kama umekosea au namna gani?

Acha hizo mkuu umepuyanga hapa mtu ameleta tu story ya maisha yake tujifunze hata unakosemea ni kuruka ruka ujue wazi pia ni somo kwetu.
 
Kama basi kigezo cha mtu kutokukosea ni muda wa kujiunga jf basi ndio ile theory ya mkubwa hakosei.

Sawa amejiunga 2022 so what?
Asikurekebishe hata kama umekosea au namna gani?

Acha hizo mkuu umepuyanga hapa mtu ameleta tu story ya maisha yake tujifunze hata unakosemea ni kuruka ruka ujue wazi pia ni somo kwetu.
...na ww una-miss a huge point, rudi kusoma comment yangu then ndio uje hapo.

Hakuna mahali nimesema kigezo cha kutokosea ni muda wa kujiunga JF, kama unaweza thibitisha itapendeza pia... nadhani ungeshirikisha ubongo vizuri ungeelewa nimemaanisha nini.

Ushauri wa bure,Tusipende ku-comment kwa mihemko, ni kweli Mdau ameleta story yake na sisi kama hadhira tunayo haki ya kuchangia chochote as long as hatuvunji sheria za JF.
 
Nami nichangia kwa kuomba ushauri kidogo.
Hii incidence ya Mary kumpenda INSIDER MAN kimapenzi ilhali akijua kuwa jamaa ameishakuwa na mahusiano na mdogo wake wa kuzaliwa tumbo moja kimaadili imekaaje wakuu?
Mimi sio kama INSIDERMAN ila ninakabiliwa na changamoto ya dada mtu kunitaka kimapenzi wakati nilishakuwa na mahusiano na mdogo wake hapo kabla. Kwa sasa hatuko pamoja ingawa bado anaonyesha hisia waziwazi.
Ambaye bado anaonyesha hisia waziwazi ni nani happy?
 
Kak Sasa hyo kujuwa Ni wapi itasadia nn kwenye story alfu wee Ni bonge moja la mshamba Basi tu hujijui kuwa Ni mshamba sna kupiga picha na Kisha kuhoji hapa HV Ni wapi ?😏 Ni akili unazo au matope umejaza kichwani


Kwanza maliza story yako acha kujifanya unafanya review kila siku ili tu kufikia malengo yako uliyopanga na sijui unapata faida gani kuchelewesha hi chai yako ,kma Ni umaharufu Bado Sana hutapata Happ jamii forum kuwaziid kina mshanna , gentamycine ,pascal na wengine kadhaa ila wewe Bado Sana utakaa Sana Hadi upate umaharufu Kam kina umughaka
Insider huyu dada umemkazia PM? mbona ana gubu sana?

Anyway uzi ni wake na humchangii hata cent so acha kelele.
 
Kuna watu Wana bahati ya kupendwa kwenye hii dunia nyie acheni tu!!

Laiti ningepewa nafasi Moja ya kuchagua nikitakacho kwa hii dunia...

Basi ningechagua nafasi ya INSIDER MAN bahati ya kupendwa kulikotukuka na hao viumbe...

Magari, fedha na takataka za kufanana na hizo, umaarufu...n k.....Ningewaachia nyinyi!!
Miezi 3 uzi una views 3 million, sio jambo dogo. Kuna watu wana nyota by nature
 
Katika hii Hadithi ni simple sana LU-DECODE, Baadhi ya taarifa :-

1.Jina la Saloon ndio ilikuwa ni code kubwa ya kwanza
2.Mwandishi mwenyewe
3.Mzee Pama
4.Ugonjwa na Hospital aliyolazwa Pama
5.Kama Saloon ipo maana code ya Iryn simple kuifungua
6.N.k n.k n.k

Otherwise, tuendelee kusoma utunzi wa Kijana mwenzetu.
Not simple as you think, na hapa nampa sifa kafanikiwa kutumia code kubwa sana. Unafikiri yeye hajui mkiijua salon kila kitu kimejulikana?

Naona umeandika NONSENSE 🚮
 
Ndugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.

Maombi yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom