Huyu mrembo nahisi anataka kunitapeli mtoto

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,441
40,425
Wakuu habari za jioni?

Kuna mdada mmoja nilimpenda sana, nikafa nikaoza; nilikuwa tayari nilale njaa ili tu yeye aweze kufurahi.
Mahusiano yangu naye, yalikuwa na changamoto sana, huna hela lazima mkorofishane au mtafute sababu mbili tatu mzinguane.

Nikajifanya mjinga ili nitundike ki-zygote, nikiamini atabadilika huko mbeleni.

Katika harakati zangu za kupambana ili apate ki-zygote, kumbe nayeye kwa upande wake alikuwa akipambana na kutumia vitu vya kiimani (nabii) ili iweze kunasa bila mimi kujua.

Kutokana na ujuzi na shabaha, kitu kikanasa; mtoto akaanza kudeka, na katika kudeka kwake kukaleta athari kwenye uchumi; ikanibidi baadhi ya mahitaji yasiyo ya lazima nayafyekelea mbali.

Ile ilimpelekea kidogo kuwa na hasira, na kuniambia nifute namba yake; nami nilitii, ingawa nilisema kwa sababu ana kiumbe changu huko mbeleni nitakiitaji.

Sasa leo nimeamua kumchokoza kwa kumuuliza, vipi maendeleo ya kiumbe changu; kidogo akawa mkali na kusema sitakiwi kujua maendeleo yake.

Nikamwambia akizaliwa na akawa amechukua sura ya baba (yangu) namchukua; hapo ndipo akawa mkali zaidi, na kusema ukitaka maisha yako yawe mafupi uje ufanye hivyo.

Sasa hapa natafakari, naona kama vile mbegu yangu imepotea; na kwa kawaida, mbegu yoyote nzuri ni gharama, kwa nini yeye awe amejipatia bure?

Wakuu, leteni ushauri.​
 
Kuna memba humu wa kike miaka ya 2017 nilifakiwa kudate na huyu memba tukiwa mkoa wa Geita mpaka akapata mimba sasa kimbembe baada ya kujifungua huyu memba maarufu wa JF hataki kabsa kuniona wala hataki kabsa kuwasiliana naye hii case inafanana ya ya mtoa mada hapo juu. Je naweza kufungua kesi mahakamani ya kudhurumiwa mtoto na huyu memba wa JF?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna memba humu wa kike miaka ya 2017 nilifakiwa kudate na huyu memba tukiwa mkoa wa Geita mpaka akapata mimba sasa kimbembe baada ya kujifungua huyu memba maarufu wa JF hataki kabsa kuniona wala hataki kabsa kuwasiliana naye hii case inafanana ya ya mtoa mada hapo juu. Je naweza kufungua kesi mahakamani ya kudhurumiwa mtoto na huyu memba wa JF?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajuzi wa sheria watakuja
 
Wakuu habari za jioni?

Kuna mdada mmoja nilimpenda sana, nikafa nikaoza; nilikuwa tayari nilale njaa ili tu yeye aweze kufurahi.
Mahusiano yangu naye, yalikuwa na changamoto sana, huna hela lazima mkorofishane au mtafute sababu mbili tatu mzinguane.

Nikajifanya mjinga ili nitundike ki-zygote, nikiamini atabadilika huko mbeleni.

Katika harakati zangu za kupambana ili apate ki-zygote, kumbe nayeye kwa upande wake alikuwa akipambana na kutumia vitu vya kiimani (nabii) ili iweze kunasa bila mimi kujua.

Kutokana na ujuzi na shabaha, kitu kikanasa; mtoto akaanza kudeka, na katika kudeka kwake kukaleta athari kwenye uchumi; ikanibidi baadhi ya mahitaji yasiyo ya lazima nayafyekelea mbali.

Ile ilimpelekea kidogo kuwa na hasira, na kuniambia nifute namba yake; nami nilitii, ingawa nilisema kwa sababu ana kiumbe changu huko mbeleni nitakiitaji.

Sasa leo nimeamua kumchokoza kwa kumuuliza, vipi maendeleo ya kiumbe changu; kidogo akawa mkali na kusema sitakiwi kujua maendeleo yake.

Nikamwambia akizaliwa na akawa amechukua sura ya baba (yangu) namchukua; hapo ndipo akawa mkali zaidi, na kusema ukitaka maisha yako yawe mafupi uje ufanye hivyo.

Sasa hapa natafakari, naona kama vile mbegu yangu imepotea; na kwa kawaida, mbegu yoyote nzuri ni gharama, kwa nini yeye awe amejipatia bure?

Wakuu, leteni ushauri.​

Mpigie muongee
 
Tatizo ni mjuaji sana, nikifanya hivyo nguvu ya matumizi itakuwa kubwa, mi navizia tu baada ya kujifungua mtoto akiwa na miezi sita, na kama atakuwa amechukua munekano wangu, ndio nitumie njia za kidiplomasia.​


Kumbe una suluhisho? Kila la heri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom