ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 816
- 995
acha ufala unajikuta mchangiaji kuquote episode nzima, huo ni umamaKmmk majanga juu ya majanga utanyooka
Hawezi kuandika kila kitu jamani....anaandika yale ya muhimu tuSijawahi sikia umesimamishwa na trafik au kuandikiwa cheti wakati unazurula na gari daily au ngekewa ilikuwa inakubeba?
Yaani kweli wewe ni mshambaSijawahi sikia umesimamishwa na trafik au kuandikiwa cheti wakati unazurula na gari daily au ngekewa ilikuwa inakubeba?
Msenge wwEpisode ya 39.
Tunaendelea wadau.
.....basi bwana, kumbe baada ya kutoka kule Zanzibar, Irylin alihitajika haraka kwa mama mzungu (Mama Janeth) ili aunganishwe na mchongo mpya wa kazi katika shirika kubwa lenye hadhi, shirika ambalo wanaofanya huko ni wale wenye akili timamu wasio na asili ya kusoma kwenye Shule zenye upungufu wa matundu ya vyoo.
Kwa kuwa Irylin anamheshimu sana mama Janeth na anamchukulia kama mlezi wake, hakuona shida ya kukataa kwa sababu kabla aliwahi kudokezwa kuhusu mpango huo.
Kuhusu kumuaga Insider hakuona haja kwa sababu tayari Insider aliyafanya mambo yake kuwa siri.
Hivyo utaratibu ule ule aliyokuwa ametumia Insider, Irylin aliamua kupitia mle mle ili Insider aonje ugumu wa kufanya mambo kimya kimya.
************************
Kuhusu alipo Irylin na ni lini atarejea jumlisha mustakabali wa kazi....
Itaendelea na mtu asiguse komenti yangu.
muongeze jingine
Angalia utadandiwa nyumaEpisode ya 39.
Tunaendelea wadau.
.....basi bwana, kumbe baada ya kutoka kule Zanzibar, Irylin alihitajika haraka kwa mama mzungu (Mama Janeth) ili aunganishwe na mchongo mpya wa kazi katika shirika kubwa lenye hadhi, shirika ambalo wanaofanya kazi huko ni wale wenye akili timamu wasio na asili ya kusoma kwenye Shule zenye upungufu wa matundu ya vyoo.
Kwa kuwa Irylin anamheshimu sana mama Janeth na anamchukulia kama mlezi wake, hakuona shida ya kukataa kwa sababu kabla aliwahi kudokezwa kuhusu mpango huo.
Kuhusu kumuaga Insider hakuona haja kwa sababu tayari Insider aliyafanya mambo yake kuwa siri.
Hivyo utaratibu ule ule aliyokuwa ametumia Insider, Irylin aliamua kupitia mle mle ili Insider aonje ugumu wa kufanya mambo kimya kimya.
************************
Kuhusu alipo Irylin na ni lini atarejea jumlisha mustakabali wa kazi....
Itaendelea na mtu asiguse komenti yangu.
Mbona mambo ya aina ya chakula anachokula na vinywaji anavokunywa anaandika?Hawezi kuandika kila kitu jamani....anaandika yale ya muhimu tu
Watu vipofu! Sasa huyu naye mzuri?Moja kati ya selfie ya iryn aliyopiga na simu yake iPhone 14 Pro max hii alipewa na mhispania mmoja ambae alikua bongo.View attachment 2727265
Wewe k Kama huna kazi si uokote hata chupa za maji uuze!!pumbavuEpisode ya 39.
Tunaendelea wadau.
.....basi bwana, kumbe baada ya kutoka kule Zanzibar, Irylin alihitajika haraka kwa mama mzungu (Mama Janeth) ili aunganishwe na mchongo mpya wa kazi katika shirika kubwa lenye hadhi, shirika ambalo wanaofanya kazi huko ni wale wenye akili timamu wasio na asili ya kusoma kwenye Shule zenye upungufu wa matundu ya vyoo.
Kwa kuwa Irylin anamheshimu sana mama Janeth na anamchukulia kama mlezi wake, hakuona shida ya kukataa kwa sababu kabla aliwahi kudokezwa kuhusu mpango huo.
Kuhusu kumuaga Insider hakuona haja kwa sababu tayari Insider aliyafanya mambo yake kuwa siri.
Hivyo utaratibu ule ule aliyokuwa ametumia Insider, Irylin aliamua kupitia mle mle ili Insider aonje ugumu wa kufanya mambo kimya kimya.
************************
Kuhusu alipo Irylin na ni lini atarejea jumlisha mustakabali wa kazi....
Itaendelea na mtu asiguse komenti yangu.