Busara ziro
Member
- Dec 2, 2019
- 63
- 56
Life bwana kuna muda unawaza daaah..!! "hivi kwa mfano BABA Angekuaga MO DEWJ sahvi maisha mtelezo tuu!! " Wakati huohuo baba nae unakuta anawaza hivi mfano "MWANANGU angekuaga SAMATTA "loooh..!! Ningekua nakula maisha tu... Yaani we acha Halafu kuna kipindi MTOTO Anawaza "dingi akifa tu nauza nyumba" yaani kumbe mda huu dingi nae anawazia ufe ili apangishe chumba unachokaa!!
_LIFE IS NOT FAIR
_LIFE IS NOT FAIR