CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
kaka ndiyo kazi zangu hizo settings zote nazijua vizuri mnoo yaani ,hawa ni wezi hiyo mb 600 ni botion hapo uhakika wanatoa 250 mb hii awamu ya sita kwa kweli sasa hapo TCRA hutawasikia zaidi ya kufungia nyimbo za ney wa mitego na kuacha za kina meja kunta za kuhimiza wadada watoe kwa mpalange😂😂 pole mkuu, ila ujue nini, hebu ingia kwenye data usage kule kwenye settings ucheki huo mtafuno umekuwaje