Jina la Mtaa maarufu huko Kinshasa...

hahahahaha, hapo sasa!
 
gfsonwin naona hii definition ya Kimachame inaendana sawia kabisa na kiswahili chake!.
 
Last edited by a moderator:
Japan iko team inaitwa Kumamoto

Ni jina la uwanja mkuu, nakumbuka ule wakati wa 2002 world cup mtangazaji alisema Mbo mpenza apiga goli safi ndani ya kumamoto (mbo mpenza mchezaji mniga wa ubelgiji)
 
Ni jina la uwanja mkuu, nakumbuka ule wakati wa 2002 world cup mtangazaji alisema Mbo mpenza apiga goli safi ndani ya kumamoto (mbo mpenza mchezaji mniga wa ubelgiji)

hakya mbuzi tena hapa sasa watu mmekusudia kutusi lol!
 
swadakta ila huku kwetu bia ni safari tu na eagle tena hii inaitwa ya wajane umewah kuiona??
Heri ya Safari naweza kuanzisha nyingine mwenyewe, lakini eagle noma uzito wangu mdogo inaweza kunipaisha na nikashindwa kupaasina mbawa!.

Nimeona wengi wanaigigida kwa kuwa ni nafuu kidogo, lakini wengi wanishia kuweweseka dada!.
 
Heri ya Safari naweza kuanzisha nyingine mwenyewe, lakini eagle noma uzito wangu mdogo inaweza kunipaisha na nikashindwa kupaasina mbawa!.

Nimeona wengi wanaigigida kwa kuwa ni nafuu kidogo, lakini wengi wanishia kuweweseka dada!.
eagle bana sijui hata waliwaza nini wallah!
lkn vibibi vya kichaga vinaiita bia ya wajane ukiwakuta wanaigigida utasema sio wabibi halafu havilewi kabisa sasa ngoja waguse vijana ambao msosi ni ishu moja tu wanaanza kuimba mapambio
 
eagle bana sijui hata waliwaza nini wallah!
lkn vibibi vya kichaga vinaiita bia ya wajane ukiwakuta wanaigigida utasema sio wabibi halafu havilewi kabisa sasa ngoja waguse vijana ambao msosi ni ishu moja tu wanaanza kuimba mapambio
Hapo kwenye blue, swala la chunvi linahusika!

Lakini kwenye red kuhusu kuwa ya wajane sijang'amua kitu kabisa maana sijaona uhusiano hata kidogo kati ya mme na eagle!.
 
Hapo kwenye blue, swala la chunvi linahusika!

Lakini kwenye red kuhusu kuwa ya wajane sijang'amua kitu kabisa maana sijaona uhusiano hata kidogo kati ya mme na eagle!.
aaah! kumbe hujaelewa??
wao wanasema hivyo kwasababu ya bei. eagle inauzwa kati ya sh 1000-1300 wakati bia nyingine ni sh 1800-2000 sasa wao husema ni ya wajane kwasababu be yake ni nafuu hivyo huweza kunywa nyingi.
 
Mkuu Gitifii na huyu tuseme amekalia kiti aina gani?.
View attachment 96672

nataman ndo kingekuwa kiti chanagu cha ofc lol!
kila siku mfanyakazi bora ningekuwa mm manake wa kwanza kufika na wa mwisho kutoka ndani ya ofc.
muda wote nimekalia kiti kuchapa kazi sina muda wa kuzurura kwenye meza na ofc za awatu kuongea lol!
 
mnona kuna mmarekani foreign ofice anaitwa -----,zamani kulikuwa na mchezaji wa michezo ya kuteleza (skiing) pia aliitwa -----,huyo wa marekani akija hapa sijui nani atampokea airport
 
nataman ndo kingekuwa kiti chanagu cha ofc lol!
kila siku mfanyakazi bora ningekuwa mm manake wa kwanza kufika na wa mwisho kutoka ndani ya ofc.
muda wote nimekalia kiti kuchapa kazi sina muda wa kuzurura kwenye meza na ofc za awatu kuongea lol!
Coment yako inareflect hisia za aliyekikali!.

 
Hallo Mwali. Hujambo?.Ufahamu wako wa jiografia ya hilo eneo unanishangaza.Ulifanyaga field-work huko au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…