Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Sio mimi my lovely sister
Veneranda mambo, mimi napenda hili Jina na uliyebeba hili jina.
Veneranda mambo, mimi napenda hili Jina na uliyebeba hili jina.
Kwani unaitwa nani mkuu?Maana Uzi una pages za kutosha aiseeDaah sijui nimetajwa maana hatari sana
Naamini sijatajwa mkuu wanguKwani unaitwa nani mkuu?Maana Uzi una pages za kutosha aisee
Ila siitwi Irene, Jacky, Lucy wala Maria hahahaKwani unaitwa nani mkuu?Maana Uzi una pages za kutosha aisee
Winnie au Beatrice he?Maana kuna majina yametajwa humu kwa wingi kweli mkuuIla siitwi Irene, Jacky, Lucy wala Maria hahaha
Jina lako litakuwa unique, ha ha ha ha haIla siitwi Irene, Jacky, Lucy wala Maria hahaha
Sio Unique. Labda tuna mapenzi ya dhatiJina lako litakuwa unique, ha ha ha ha ha
Aisee,hebu nitumie jina lako PM please kama hautajali mkuuSio Unique. Labda tuna mapenzi ya dhati
Nishapoa Mzee Anna kanifanya sijaoa hadi Leohe
he!Jesus of Nazareth!
Mungu akuponye moyo wako kaka
Duuuu, noma sanaNishapoa Mzee Anna kanifanya sijaoa hadi Leo
Af jina la mwaka ni Sara, limetenda wengi sana according to investigation
Mlaaniwe madem wote wa utumishi, Singida TC na Uhasibu Singida mlinifanya fala kumbe ni malaya hivyo ni mamama huruma kiasi hicho mnamegwa na vibabu mnanitaka kwa sababu zenu binafsi kuniongopea kumbe mnakazwa huko.
Nasemaje mbwa nyie woteee tabia zenu ni moja kama una dem au mke anasoma kwenye hivyo vyuo Mkoa wa singida huna chako manina
Jackline, this bitch was a horror story
Janet....go to hell mother fanta
Hahaha aise. .kumbe Kuna ma comrade wengi sana humu mliopatwa na broken heartdaah consolatha mullo popote ulipo..huyu mchaga nlimpenda mnoooo ila alicho nifanyia sito msahau
Nancie..go to hell..mseng.e sana